Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,531
- 94,727
Labda upo sahihi lakini ni choice tu ya mtu. Ukiona mtu amejiweka kutotaka ndoa basi ujue kuwa hataki sio wa kuolewa huyo.Hauendani kivipi Mkuu? Hujui maudhuo yaliyomo ndani ya unabii huo nikufafanulie. Tafsiri ni kuwa siku zinakuja wanawake wengi(Isaya ameona aweke 7) Watakosa wanaume wa kuwaoa. Itafikia kipindi mwanamke atajitongozesha kwa mwanaume huku akisema atajihudumia mwenyewe, iwe chakula, mavazi, na matumizi mengine. Tena wengine itafikia hatua atajua kabisa fulani anamke lakini hatajali atakachojali ni kuwa na mwanaume. Hii mbona tayari ipo sana mjini.
Sasa wapi unabii hauendani na wakati.
Na pia si kila mwanamke ni wa kuolewa..wengine wapo kwaajili ya matumizi mengine. So usilazimishe aolewe jua kuwa hana huo mwelekeo. So tafuta mwenye muelekeo huo umuoe usilazimishe jinsi unavyotaka wewe iwe.
