BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,777
- 6,268
Kwa waliofunga tumeshafuturu,basi si haba nataraji wote mko buheri wa afya.
Back to the topic,why?
Kuna jamaa kahamia mtaani mambo yake saafi,wagogo wanasema mswano, na usafiri wake rav 4 dah! Noma aisee!
Wake za watu4 kagonga,wakisoma kama 5 hivi nao kabanjua, lakustaajabisha alikua anagonga dada mtu,siku ya siku akamuona mdogo mtu,
kama kawa dogo kumbe anasoma mkoa,kajilengesha jamaa kagonga,
sas hakuna maekewano kati ya mtu na dada yake,majirani ndio tunahangaika kuwasuluhusha.
Whaat exacttly ijust need to know,kwa nini fedha zinawavuruga akili ?
Back to the topic,why?
Kuna jamaa kahamia mtaani mambo yake saafi,wagogo wanasema mswano, na usafiri wake rav 4 dah! Noma aisee!
Wake za watu4 kagonga,wakisoma kama 5 hivi nao kabanjua, lakustaajabisha alikua anagonga dada mtu,siku ya siku akamuona mdogo mtu,
kama kawa dogo kumbe anasoma mkoa,kajilengesha jamaa kagonga,
sas hakuna maekewano kati ya mtu na dada yake,majirani ndio tunahangaika kuwasuluhusha.
Whaat exacttly ijust need to know,kwa nini fedha zinawavuruga akili ?