Wanawake kuweni wasafi basi!

Wanawake kuweni wasafi basi!

mitishamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
697
Reaction score
111
Nimepanda daladala,
Imejaa kupita kiasi,
Nimesimama na pembeni yangu yupo mdada,
Kisura anaonekana si haba,

Kidevu kimejaa ndevu,
Ameshika bomba kama mimi,
Amevaa kitopu, mikono juu,
Jasho chepechepe, manyoya kibao, kikwapa tena ndo usiseme.

Kitop kimepanda juu,
G-string njenje, imefubaa hiyo balaa,

Siwezi kuendelea kusimulia!

Nilitamani safari yangu iishe haraka, nilipofika nikashukuru...nikawaachia dhahama hilo washika bomba walioendelea na safari.

Jamani wadada walau kausafi kidogo basi.
 
Wamekusikia,tena inawezekana wengine wapo humuhumu!
 
Jitolee basi kumnyoa, afu mwachie 5000 apitie Kariakoo anunue zile za buku buku.
 
mkuu nahisi haukufika uliishia njiani. pole sana kwa maswahibu yaliyokukuta.
 
Ngoja nikakope deodorant alafu nioge.
Kidevu ntashevu nikinunua sukari ili nitengeneze wax.
 
aisee, ile mahari ya kunioa mke wa pili naomba usiilete tena! kumbe hutaki nifanye kazi ili uwe unachungulia wadada huko kwenye daladala hivyo eeh!
:A S embarassed::shock:
 
Ungemwambia mmachinga anayepita nje akupe ile perfum ya bei rahisi kabisa inaitwa "COBRA" halafu unamwambia mpe huyo mdada.

Mimi inanikera sana kuona mdada ana jasho kwapani yaani inakera mnooooo!! mwengine tena kavaa fresh lakini amesweti jasho hadi wengine blouse nyeupe ina turn YELLOW!! na sababu kubwa ni kuacha manyoya mengi!!!
 
Nimepanda daladala,
Imejaa kupita kiasi,
Nimesimama na pembeni yangu yupo mdada,
Kisura anaonekana si haba,

Kidevu kimejaa ndevu,
Ameshika bomba kama mimi,
Amevaa kitopu, mikono juu,
Jasho chepechepe, manyoya kibao, kikwapa tena ndo usiseme.

Kitop kimepanda juu,
G-string njenje, imefubaa hiyo balaa,

Siwezi kuendelea kusimulia!

Nilitamani safari yangu iishe haraka, nilipofika nikashukuru...nikawaachia dhahama hilo washika bomba walioendelea na safari.

Jamani wadada walau kausafi kidogo basi.

wadada huwa tunajitahidi sana kuwa wasfi, ukikuta baadhi kama huyo ulokutana nae mara nying wanakua hawajitambui na hawapendi kujifunza kutoka kwa wenzao
 
aisee, ile mahari ya kunioa mke wa pili naomba usiilete tena! kumbe hutaki nifanye kazi ili uwe unachungulia wadada huko kwenye daladala hivyo eeh!
:A S embarassed::shock:

Halafu wee mambo ya chumbani mbona unayaleta sebuleni...tena leo kumejaa watoto hadi wa majirani.
 
Nimepanda daladala,
Imejaa kupita kiasi,
Nimesimama na pembeni yangu yupo mdada,
Kisura anaonekana si haba,

Kidevu kimejaa ndevu,
Ameshika bomba kama mimi,
Amevaa kitopu, mikono juu,
Jasho chepechepe, manyoya kibao, kikwapa tena ndo usiseme.

Kitop kimepanda juu,
G-string njenje, imefubaa hiyo balaa,

Siwezi kuendelea kusimulia!

Nilitamani safari yangu iishe haraka, nilipofika nikashukuru...nikawaachia dhahama hilo washika bomba walioendelea na safari.

Jamani wadada walau kausafi kidogo basi.

Ulimwambia huyo dada awe msafi kwa ulivyoviona?? unafiki
 
Khaaaa,
Mkuu hapa iweke vizuri mbona umetujumuisha wadada wote humo wakati umeona mmoja tu?
Kwa kumsaidia ungemwambia tu maana huku ujumbe hautafikia na ataendelea kujiona poa,
Pole kwa hilo japo km ukilinganisha na wakaka wanaotoa viharufu vya ajabu,
Idadi ya wakaka ni kubwa zaidi!
 

....wa kiume mwenzio huyo, shtuka na wewe.
 
Back
Top Bottom