jingojames
JF-Expert Member
- Mar 12, 2010
- 886
- 453
"au labda amevurugwa na aliyempenda hivyo akaamua kukata tama"
wadada huwa tunajitahidi sana kuwa wasfi, ukikuta baadhi kama huyo ulokutana nae mara nying wanakua hawajitambui na hawapendi kujifunza kutoka kwa wenzao