Wanawake kuweni wasafi aisee mnatuboa

Wanawake kuweni wasafi aisee mnatuboa

Naweza kusema ni ukosefu wa busara umetawala sana humu JF mtu akiamua tu kuanzisha Thread za ufharirishaji kwa kundi kubwa la watu hata ambao hajawahi kukutanana nao anaanzisha na Kuwajumuisha kua ni wachafu,Malaya n.k
Hivi kwanini tusijikite katika kuanzisha nyuzi mbali mbali za kutiana moyo,kuhamasishana,kuonyeshana mifano mema na kukosoa ile mibaya,kufarijiana na hata soga tu zenye kuchekesha badala ya matusi yasiyo na tija! Haya huyu katutukana wanawake lakini majibu yake atayapata toka kwa wadada walioubeba udhaifu wake na kutaka kumlipiza kwa matusi yake!
Jamani tubadilike njoo uulize tiba ya tatizo lililomsibu mwenzi wako badala ya kuja kutukana watu ambao hata uzaliwe Mara ya pili upepo wao hutoufikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usafi ni muhimu kwa wote haijalishi jinsia. Hebu chukulia ndani ya nyumba mmoja (mme au mke) awe msafi mwingine awe mchafu, "chakula" hakiweze kulika kwa raha. Sote tujitahidi na hasa tuendepo haja zetu tutumie maji!
 
Mwanamke au msichana anaweza kujichukia (kutojijali) kwa muda fulani. Na mara nyingi husababishwa na kukashifiwa na watu wake wakaribu kuhusu miili au muonekano wao, mfano mwanaume anayemzimikia/ mpenzi wake akimwambia kuwa amenenepa na kuwa mbaya, au amekuwa mweusi nk, basi kauli kama hizo huwaathiri kisaikolojia na kupelekea kuwafanya kutojidhamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavyomsema mwenzio kwenye mitandao ujue yeye anakusema kwa mashoga zake wakiwa pamoja. Jiangalie mdogo wangu ukipata kizuri sifia, ukipata kibaya vumilia au kama unamoenda kwa dhati mtafutie dawa ili apate tiba ya tatizo alilonalo sio kila kitu kukimbilia humu mengine maliza huko huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikuta naangalia profile yako..mategemeo yangu uwe under 18 kumbe 29!

mdogo wangu grow up!

Muda wa kuoa huu, ukiwa na mke wako mmoja tu..haya unayolalamikia hapa hayatakuwepo.

These threads ni za under 18.
Kama under 18 ndio wanahimiza usafi..its okey

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF siku hizi imetawaliwa na watoto sana ama kiumri ama kiakili ama vyote....hata kama ni kweli tumia lugha nzuri kuwasema au huyo wako ungekaa naye mweleze naye umsikiliza sio kila jambo ulilokutana nalo faragha utuletee hapa!!
Pole mkuu kwani nawe nimekugusa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweza kusema ni ukosefu wa busara umetawala sana humu JF mtu akiamua tu kuanzisha Thread za ufharirishaji kwa kundi kubwa la watu hata ambao hajawahi kukutanana nao anaanzisha na Kuwajumuisha kua ni wachafu,Malaya n.k
Hivi kwanini tusijikite katika kuanzisha nyuzi mbali mbali za kutiana moyo,kuhamasishana,kuonyeshana mifano mema na kukosoa ile mibaya,kufarijiana na hata soga tu zenye kuchekesha badala ya matusi yasiyo na tija! Haya huyu katutukana wanawake lakini majibu yake atayapata toka kwa wadada walioubeba udhaifu wake na kutaka kumlipiza kwa matusi yake!
Jamani tubadilike njoo uulize tiba ya tatizo lililomsibu mwenzi wako badala ya kuja kutukana watu ambao hata uzaliwe Mara ya pili upepo wao hutoufikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha povu...wapi nimetukana hapo?? Au unalazimisha uzi uwe wa matusi?? Kwani kueleza hali halisi nayo ni CRIME

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavyomsema mwenzio kwenye mitandao ujue yeye anakusema kwa mashoga zake wakiwa pamoja. Jiangalie mdogo wangu ukipata kizuri sifia, ukipata kibaya vumilia au kama unamoenda kwa dhati mtafutie dawa ili apate tiba ya tatizo alilonalo sio kila kitu kukimbilia humu mengine maliza huko huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila lisemwalo lazima niwe mimi some tyme tunawakilisha wengine kupitia uvaaji wa uhusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha povu...wapi nimetukana hapo?? Au unalazimisha uzi uwe wa matusi?? Kwani kueleza hali halisi nayo ni CRIME

Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishani na wapumbavu wasio na fikra,unaposema wanawake wananuka means hata mamako ni mwanamke je nae ananuka? Utafurahi ukisikia mwanaume mwingine akisema mamako ana nuka? Hebu kua na adabu japo kidogo basi maana hao uliokutana nao wakawa wananuka ni sehemu ndogo tu ya wanawake wote Duniani lakini ulichokiandika hapa ni kama vile wote umetufunua ukatukuta tunanuka. Kua na heshima ndugu yangu kama ulikua na lengo la kumsaidia huyo anayenuka ungekuja kutafuta tiba badala ya kuja kututukana wote! Alafu ulichokiandika si kigeni kimeandikwa sana humu JF hivyo kina dhihirisha namna JF ilivyovamiwa na waliokosa upeo wa fikra mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sibishani na wapumbavu wasio na fikra,unaposema wanawake wananuka means hata mamako ni mwanamke je nae ananuka? Utafurahi ukisikia mwanaume mwingine akisema mamako ana nuka? Hebu kua na adabu japo kidogo basi maana hao uliokutana nao wakawa wananuka ni sehemu ndogo tu ya wanawake wote Duniani lakini ulichokiandika hapa ni kama vile wote umetufunua ukatukuta tunanuka. Kua na heshima ndugu yangu kama ulikua na lengo la kumsaidia huyo anayenuka ungekuja kutafuta tiba badala ya kuja kututukana wote! Alafu ulichokiandika si kigeni kimeandikwa sana humu JF hivyo kina dhihirisha namna JF ilivyovamiwa na waliokosa upeo wa fikra mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha upuuzi wewe bi kidude...wapi nimeandika wanawake WOTE?? Au unakurupukia tu nyuzi za vidume?? Yawezekana ndio wewe mnuka K

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha upuuzi wewe bi kidude...wapi nimeandika wanawake WOTE?? Au unakurupukia tu nyuzi za vidume?? Yawezekana ndio wewe mnuka K

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] nakusikitikia sana maana kwa hadhi yako hivyo ulivyo hutopata bahati hata ya kunishika mkono sembuse kunivua Nguo! Ukitaka kujijua wewe ni mwehu kiasi gani ni pale unapokana hadi ulichokiandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] nakusikitikia sana maana kwa hadhi yako hivyo ulivyo hutopata bahati hata ya kunishika mkono sembuse kunivua Nguo! Ukitaka kujijua wewe ni mwehu kiasi gani ni pale unapokana hadi ulichokiandika

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha.naona waniangalia kwa wasiwasi, nimekustay chiz langu...me mwenyewe sinaga time na madem waenda race kama wewe..kwani pussy yako imenakshiwa na madini gani mkuu mpaka nishobokeee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usafi wa K wanaoweza ni wale above 40. Chini ya hapo ni 10% tu ndio wapo vizuri, wamevunda kwakweli.
 
Aisee sijui ndio hali ngumu au vipi...kwakifupi wanawake mmejizira miili yenu aisee..inafika kipindi mwanamke unaepishana nae Lazima usikie Harufu ya kwapa au kisusio....au domo kutema kama umekula vitunguu vya salad
Ona sasa juzi yamenikuta nakwea mnazi huku harufu kali..nlitamani mpaka niwe na helmet nivae aiseee
SHAME ON YOU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege wenye wananao huruka PAMOJA.
huenda nawewe unatema harufu yako hujijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama under 18 ndio wanahimiza usafi..its okey

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa mtu mzima kama wewe (walau kiumri), unapaswa kuwa umepevuka na sasa aidha umeoa au unajiandaa kuoa.

Tofauti na hapo hizi mada za wadada kunuka hazitoisha. Sasa hivi ulipaswa kuja na mada za kujenga. Sasa hivi ulipaswa kuwa na mpenzi wako mmoja. Habari za wanawake unaopishana nao wakinuka, hujui hali yao mkuu! Pambana na ya kwako ila kwa kuwa ni kiruka njia bado despite your age...endelea!

Na vile ndo hatukupangii cha kupost...ila sitoacha kushauri! Uhuni haulipi mdogo wangu...langu ni hilo tu!
 
Back
Top Bottom