Wanawake kuweni wasafi aisee mnatuboa

Wanawake kuweni wasafi aisee mnatuboa

Sibishani na wapumbavu wasio na fikra,unaposema wanawake wananuka means hata mamako ni mwanamke je nae ananuka? Utafurahi ukisikia mwanaume mwingine akisema mamako ana nuka? Hebu kua na adabu japo kidogo basi maana hao uliokutana nao wakawa wananuka ni sehemu ndogo tu ya wanawake wote Duniani lakini ulichokiandika hapa ni kama vile wote umetufunua ukatukuta tunanuka. Kua na heshima ndugu yangu kama ulikua na lengo la kumsaidia huyo anayenuka ungekuja kutafuta tiba badala ya kuja kututukana wote! Alafu ulichokiandika si kigeni kimeandikwa sana humu JF hivyo kina dhihirisha namna JF ilivyovamiwa na waliokosa upeo wa fikra mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu mtoto amechefua kupita maelezo, nilitaka nisiandike chochote humu ila anavyowajibu watu vibaya wanaomrebisha napata hasira sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke au msichana anaweza kujichukia (kutojijali) kwa muda fulani. Na mara nyingi husababishwa na kukashifiwa na watu wake wakaribu kuhusu miili au muonekano wao, mfano mwanaume anayemzimikia/ mpenzi wake akimwambia kuwa amenenepa na kuwa mbaya, au amekuwa mweusi nk, basi kauli kama hizo huwaathiri kisaikolojia na kupelekea kuwafanya kutojidhamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuoga lazima lakin ,na kubadili chupi au kukaa bila chupi ili hewa ipitee vyema
 
kwani dushe zetu ni uchafu?na kama jibu ni ndiyo mbona wengi wenu mnakula kwa mdogo na kujiingizia panapo maeneo?
 
Aisee sijui ndio hali ngumu au vipi...kwakifupi wanawake mmejizira miili yenu aisee..inafika kipindi mwanamke unaepishana nae Lazima usikie Harufu ya kwapa au kisusio....au domo kutema kama umekula vitunguu vya salad
Ona sasa juzi yamenikuta nakwea mnazi huku harufu kali..nlitamani mpaka niwe na helmet nivae aiseee
SHAME ON YOU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutembea na wanawake wa bei rahisi
 
Hao unaochukua ndio size yako, wengine hatujawahi kukutana nao
yaani ungekuwa karibu ningekutumia hela ya kinywaji chochote unachotumia, tena in bulk sio kimoja

thank you mkuu umemaliza kujibu maswali yangu
 
We vipi ulibemendwa nini mbona povu aisee?? Au nilikuita ucomment?? Ndio matatizo ya kulelewa single parent hayo..

Sent using Jamii Forums mobile app
malaya wakiume wewe, wewe umekulia vijiweni na mitaan ndo maana huna heshima, namuonea huruma aliyelikuzaa laiti angejua anazaa takataka kama wewe angekuflash mapemaa, mtoto wakiume unatabia zakishoga kama nini, kunguru wa zanzibar wewe heshima yako iko kwenye makalio baradhuli wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
malaya wakiume wewe, wewe umekulia vijiweni na mitaan ndo maana huna heshima, namuonea huruma aliyelikuzaa laiti angejua anazaa takataka kama wewe angekuflash mapemaa, mtoto wakiume unatabia zakishoga kama nini, kunguru wa zanzibar wewe heshima yako iko kwenye makalio baradhuli wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema sio kosa lako..nitatizo la kubemendwa au ulilala na mzee wako nini..maana king'ang'anizi kweli we bi cheka, achana na mimi...kachambe mpapa wako huo unaonuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom