Kwa siku hizi mbili ya 09-11/12/2017, tupo Dodoma kwenye mkutano, kwenye kundi langu (la mkoa wangu) nipo na wanawake sita ambao ni wake za watu wote kumi wana ndoa za watu.
Nimeshtushwa kuwaona wamefika Dodoma na kuolewa hovyo tena na zaidi ya waume watatu kila mmoja. Wanaliwa kama ugali. Masikini ya Mungu nawaona wanawake wakilegezwa hovyo na vijana.
Ndani ya kundi langu nimechunguza wanaume wote kila mmoja alimuagiza mkewe aje na gari lingine ila ajitulize kwake. Na kila mmoja alinipa taarifa kuwa mke wangu anakuja so room zao ziwe na acomodation za kutosha.
Wanawake wale wanaliwa na watu wasiowajua. Yaani tukitoka kwenye mkutano wameshapatana na mtu so hata gari yetu hawapandi tena. Wanawake hawana tena hekima. Wanawake mna nini?
Nimeshtushwa kuwaona wamefika Dodoma na kuolewa hovyo tena na zaidi ya waume watatu kila mmoja. Wanaliwa kama ugali. Masikini ya Mungu nawaona wanawake wakilegezwa hovyo na vijana.
Ndani ya kundi langu nimechunguza wanaume wote kila mmoja alimuagiza mkewe aje na gari lingine ila ajitulize kwake. Na kila mmoja alinipa taarifa kuwa mke wangu anakuja so room zao ziwe na acomodation za kutosha.
Wanawake wale wanaliwa na watu wasiowajua. Yaani tukitoka kwenye mkutano wameshapatana na mtu so hata gari yetu hawapandi tena. Wanawake hawana tena hekima. Wanawake mna nini?