Wanawake kuweni makini saana na hawa 'Uncles'

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,648
75,732
Salaaam.

Kuna wanawake wengi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu wamejaaliwa maisha sio mabaya wamepanga au wamejenga na wanabadilisha mboga kila siku.

Bahati mbaya walipata watoto ila wakashindwana na baba wa watoto. Maisha yanaupweke, nao wanahitaji kupendwa na kufanya kale kamchezo katamu.

Sasa wale wenye watoto wa kike utaskia mwanao anamuita boy friend wako uncle uncle usituamini saana sisi wanaume. Mwanao unakuta yupo 16 hawa wajomba wakija nyumbani sio wote watamuona binti yako mtoto ataonyesha heshima ukiwepo.

Siku akija mwenyewe atafanya mengine. Kuna jirani yangu mama na mtoto wote wamepewa mimba na uncles uncles mama hajui cha kufanya kachanganyikiwa.
 
Huyo mama asijisumbue azae tu waone wamepewa mimba na kiumbe Kama viumbe wengine! Kushikilia vitu fulani muda mwengine tabu.. umekuwa imeshakuwa waangalie mbele Sasa na ktk jamii wasilaumie wanaweza chukua maamuzi mabaya we live only one time.. ikibidi wahame hilo eneo.

Kwa anaetaka uncle nipo hapa uncle wa hiari..😜 joke lkn namaanisha..😜
 
Unaweza kukuta haya yameandikwa na aliyezaliwa nje ya ndoa
................Kukutahadharisha tu,siyo mimi wala baba yangu tuliofanya ujinga huu,nimezaliwa ndani ya ndoa takatifu baba akiwa hana mtoto nje na amefariki nikiwa aged 1½ na dada yangu akiwa na miaka 6 kamuacha mama mjane akiwa aged 29 na sasaivi mama anazeeka yupo 63 sijawahi kumuona mtu anayejiita uncle au baba mdogo ndani ya nyumba yetu,na mimi wanangu wawili nimewazaa ndani ya ndoa na mama mmoja.

Nilichoandika hapo juu nakijua,mzazi akishakuwa na njia mbovu hasa mzazi wa kike hata kizazi chake kinakuwa cha hovyo.hivi nikuulize kwa maelezo ya mleta mada main post pale juu amesema binti ana miaka 16,hivi wewe kama mwanamke una-support mama yake kuingiza bwana ndani bint kabisa akijua mama yake anafanya ngono usiku wa leo?
 
................Kukutahadharisha tu,siyo mimi wala baba yangu tuliofanya ujinga huu,nimezaliwa ndani ya ndoa takatifu baba akiwa hana mtoto nje na amefariki nikiwa aged 1½ na dada yangu akiwa na miaka 6 kamuacha mama mjane akiwa aged 29 na sasaivi mama anazeeka yupo 63 sijawahi kumuona mtu anayejiita uncle au baba mdogo ndani ya nyumba yetu,na mimi wanangu wawili nimewazaa ndani ya ndoa na mama mmoja.

Nilichoandika hapo juu nakijua,mzazi akishakuwa na njia mbovu hasa mzazi wa kike hata kizazi chake kinakuwa cha hovyo.hivi nikuulize kwa maelezo ya mleta mada main post pale juu amesema binti ana miaka 16,hivi wewe kama mwanamke una-support mama yake kuingiza bwana ndani bint kabisa akijua mama yake anafanya ngono usiku wa leo?

WEWE UMEKODI HIZI SPANA KUTOKA KWA NDUGU_LISSU WEWE!!!
 
...............Hiyo point ita-take action kama malezi yatakuwa sahihi,mtoto hawezi kuacha kuwa malaya kama atazijua ratiba za mama yake kufanya ngono,kubadilisha wanaume etc.

Usichukulie vitu juu juu,malezi hasa ya mtoto wa kike yanahitaji tahadhari kubwa kosa kidogo tu anavurugika.
 
Ukipenda boga penda na ua lake uncle hakuelewa vizuri huu msemo

Sent using Jamii Forums mobile app

Dah ..hapo mama na bintiye waende vacation mbali, wakishajifungua wote bhas mama awalee watoto wote kama kajifungua mapacha vile.. huyo mtoto wa bintiye atamuita bibi..na babu atakuwa ndio baba sio.. Yani ana play part mbili in a family, at a time ni Babu na the other time ni Baba...For sure huyo mwamba ni the luckiest baharia to ever lived.. he has the world in his pocket 😂 😂
 
...............Hiyo point ita-take action kama malezi yatakuwa sahihi,mtoto hawezi kuacha kuwa malaya kama atazijua ratiba za mama yake kufanya ngono,kubadilisha wanaume etc.

Usichukulie vitu juu juu,malezi hasa ya mtoto wa kike yanahitaji tahadhari kubwa kosa kidogo tu anavurugika.

Naelewa malezi ndio kila kitu lakini some cases huyo uncle ndio anayekuwa na mambo yake mengine machafu

Mtoto anaweza kulelewa vizuri lakini uncle akaja kutumia nguvu ama ushawishi kupata anachokitaka

Japo inawezekana ratiba za mama kubadili wanaume zinaweza kuchangia tabia za mtoto
 
Au sio...wewe hukufanya mapenzi kabla ya ndoa?
Hayakusabisha kiumbe that's why nakuwa na jeuri,kufanya ngono kila mtu amefanya ni sawa na kusema uwongo vyote ni dhambi kama kosa ni hilo nitakiri.
 
Back
Top Bottom