Wanawake Kuuza Bucha ya Nyama kazi pia

Wanawake Kuuza Bucha ya Nyama kazi pia

wakurochi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
2,647
Reaction score
2,954
Naona hii kazi wanawake wanaikwepa. Wengi akina dada kununua nyama robo kila siku wanaishia kuvuliwa pichu.

Nawatia moyo akina dada jaribuni hili shughuli inalipa. Waume wanahonga sana. Ingawa najua mboga nyingi itajazwa kwenye mkoba kea ajili ya kitoweo jioni
 
Naona hii kazi wanawake wanaikwepa. Wengi akina dada kununua nyama robo kila siku wanaishia kuvuliwa pichu.

Nawatia moyo akina dada jaribuni hili shughuli inalipa. Waume wanahonga sana. Ingawa najua mboga nyingi itajazwa kwenye mkoba kea ajili ya kitoweo jioni
Wapo wanaoifanya mkuu, Sinza alikuwepo mmoja, mwanzoni alikuwa ameajiriwa kwenye bucha Fulani lakini baadaye akafungua yake mwenyewe , tena hii ni tangia mwaka 2010
 
Mimi nadhani kwa vile muuza nyama / bucha ni binadamu kama wengine, akipendana na mteja wake isiwe shida. Sasa pale anapoamua kuzidisha hiyo robo isionekane kana kwamba huyo bibie amevua pichu kwa ajili ya hiyo 0.25 kg, hapana, ni kwa sababu wamependana.
 
"masista duu wanauza nyama za usiku utadhani bucha za mchana" By Hashimu Dogo Mwendawazimu
 
We kaka tutake radhi.. yaji tuliwe kisa robo ya nyama? khaaaah. Hatuko cheap kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
Limekutachi sana mziguatisini, pole!

Lakini hata mimi na ndevu zangu za mvi, sijawahi hata siku1 kuona mwanamama anafanyakazi kabila hiyo.

Sanasana mleta uzi kataka tu jukwaa lichemke hadi liungue moto, lakini kamwe hautawezakuta bonge la demu limechuchumaa nyuma ya mlango wa kioo 'likisananga' nyama huku limechafuka damu na kuhudumia, hizo ni ndoto.

Kazi zingine hadi ataporudi masiya bado zitaendelea kutegemea mfumo dume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom