Wale huwa hakuna mke na mume ndugu yangu. Sisi ndo huwa tuna mix things, coz ipo hivi "kama ni ndoa ya wanaume wawili wote huitana mume na mume. Yaani everybody atamuita mwenzie mume, tena huwa wanachukia kweli ukisema kati yao kuna mume na mke."
"Halafu wale wanaooana wanawake wawili nao huitana mke na mke, kila mmoja humtambulisha mwenzie kama mke wake nao pia hawapendi kuambiwa mmoja ni mume na mwingine mke"
Tena wakifunga ndoa huwa anayewafungisha anasema hivi "i pronounce you husband and husband (Kwa wanaume) na wife and wife (kwa wanawake)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.