Wanawake kama hawa, sahau kufanikiwa

Wanawake kama hawa, sahau kufanikiwa

Ulishakuwa na mpunga ndo unawarudia hao??

Mwanamke asipojivunia mwili wake ajivunie nn??
 
Halafu wanarudia hayo kwa hayo kila siku...
Wanawake imekuwa kama kitisho katika jamii nowadays...malalamishi kutoka baadhi ya wanaume yashakuwa mengi... too much pilipili
Mwanaume ni mhanga zaidi kwenye ndoa kuliko mwanamke kwasababu wanawake wengi siku hizi wanavizia mali kwa wanaume kama yule wa Ashraf hakimi mwanamke hakuna anachopoteza kwenye ndoa.
 
Mwanaume anayeshindwa mwongoza mwanamke hawezi kuwa kiongozi. Binadamu wameumbwa kuwa wawili yaani mke na mme, mwanamke aongozwe na mme. Mke amheshimu mme wote wawili walete familia duniani ili kutimiza mpango wa Mungu. Mwanamme kushindwa kumwongoza mke wake ni sawa na kipofu kumwongoza kipofu mwenzie. Mwanamke ni kipofu anapaswa kuongozwa na kupewa maelekezo na mme wake. Sasa ukimwaacha peke yake nani atamwongoza, huko ni kukwepa majukumu. Tatizo wanaume wengi wanaoa wake za watu ndio maana wanafeli kuwaongoza wanawake. Ulichukua mradi ulio anzishwa na mwingine.
Wala hyo sio shida wanawake wengi siku hizi wanatamaa wanakuja kwa maslahi kama yule wa MC PILIPILI.
 
Atakua alikua ni mke wa mtu yaani MC pilipili baada ya kuwa maarufu ameenda kupata mwanamke ambaye sio wake. Mwanamke wake asingeweza kumkimbia.
Inawezekana ila tatizo kubwa vijana siku hizi hawataki kuoa na sababu kubwa ni mgawanyo wa mali hili kwenye kikao chenu iwe agenda kuu hasa vijana wa kikristo.
 
Mwanaume ni mhanga zaidi kwenye ndoa kuliko mwanamke kwasababu wanawake wengi siku hizi wanavizia mali kwa wanaume kama yule wa Ashraf hakimi mwanamke hakuna anachopoteza kwenye ndoa.
Jamani...ndio mmeshindwa kabisa kuwabadilisha na nyie ndio viongozi. Kuna pahali mmekosea sana. Ila jinsia zote nowadays zimekuwa janja janja
 
unavyoandika hapa hizo kasoro za wanawake ni kama vile sisi wanaume ni wakamilifu sana tusio na kasoro..ingekuwa ni bora unge balansi mzani pande zote..sasa tumeona aina za wanawake tukiwa nao tusahau kufanikiwa..sasa pia tujuze na aina za wanaume ambao tunaweza kuwakwamisha wanawake kufanikiwa kwa upande wao.
Kwa utetezi wako huu basi bila shaka tarari umeahapigwa na kitu kizito. Tuambieru umeangukia kwenye namba ngapi
 
Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa.

Wanaume wengi mnapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja mbele, afu unarudi mbili nyuma.

Mwanaume mwenye malengo unatakiwa kuwaepuka hawa:

1. Mwanamke Mzuri Bila Akili

2. Mwanamke Anayependa Maisha Laini (Soft life)

3. Mwanamke Asiyekubali Uwe Mbali Nae

4. Mwanamke Anayetawala Wanaume

5. Mwanamke Anayelenga Kipato Chako

6. Mwanamke Aliyekufa Kiroho

7. Mwanamke Anayejivunia Muonekano Wake

8. Mwanamke Mwenye Sumu ya haki sawa

Kaka, usibebe mzigo ambao maisha yako hayawezi kuubeba. View attachment 3451295
Huyo kwenye picha anapatikana wapi?
 
Mwanaume anayeshindwa mwongoza mwanamke hawezi kuwa kiongozi. Binadamu wameumbwa kuwa wawili yaani mke na mme, mwanamke aongozwe na mme. Mke amheshimu mme wote wawili walete familia duniani ili kutimiza mpango wa Mungu. Mwanamme kushindwa kumwongoza mke wake ni sawa na kipofu kumwongoza kipofu mwenzie. Mwanamke ni kipofu anapaswa kuongozwa na kupewa maelekezo na mme wake. Sasa ukimwaacha peke yake nani atamwongoza, huko ni kukwepa majukumu. Tatizo wanaume wengi wanaoa wake za watu ndio maana wanafeli kuwaongoza wanawake. Ulichukua mradi ulio anzishwa na mwingine.
Kwendraaas huko kuna wanawake hawana akili kabisa yeye muda wote anapenda mchatigi TU, na kupigiana simu na anajua una kazi aiseee
 
unavyoandika hapa hizo kasoro za wanawake ni kama vile sisi wanaume ni wakamilifu sana tusio na kasoro..ingekuwa ni bora unge balansi mzani pande zote..sasa tumeona aina za wanawake tukiwa nao tusahau kufanikiwa..sasa pia tujuze na aina za wanaume ambao tunaweza kuwakwamisha wanawake kufanikiwa kwa upande wao.
Achana na mambo ya usawa mkuu
 
Hiyo namba 7 ukiona indicators ukajifanya kupuuzia andika wosia kabisa na jeneza ununue usije sumbua familia na nzengo
 
Mwanaume anayeshindwa mwongoza mwanamke hawezi kuwa kiongozi. Binadamu wameumbwa kuwa wawili yaani mke na mme, mwanamke aongozwe na mme. Mke amheshimu mme wote wawili walete familia duniani ili kutimiza mpango wa Mungu. Mwanamme kushindwa kumwongoza mke wake ni sawa na kipofu kumwongoza kipofu mwenzie. Mwanamke ni kipofu anapaswa kuongozwa na kupewa maelekezo na mme wake. Sasa ukimwaacha peke yake nani atamwongoza, huko ni kukwepa majukumu. Tatizo wanaume wengi wanaoa wake za watu ndio maana wanafeli kuwaongoza wanawake. Ulichukua mradi ulio anzishwa na mwingine.
Unaafiki kuwa Mwanamke ni kipofu? Huamini kuwa Mwanamke anaweza kuongoza?
 
Back
Top Bottom