Wanawake jishughulisheni na mridhike na vipato vyenu

Wanawake jishughulisheni na mridhike na vipato vyenu

Siku ya Ijumaa ndio siku inayo ongoza kwa mizinga na hasa jioni.

Mwanzoni nilikuwa na shangaa ila ndio nikaja kujua,wengi Jumamosi wana Vikoba.
Kumbeee aisee sasa hizo hela za vicoba wanapeleka wapi hawa wanawake
 
Simon alimfuata yesu akamuambia "Bwana, tunaomba Mariamu aondoke maana hastahili uzima kwakuwa yeye ni mwanamke,wanawake hawastahili uzima"
Yesu akamjibu na kumuambia "Mimi mwenyewe nitamuongoza na kumfanya awe mwanaume, ili awe roho inayoishi inayofanana na ninyi wanaume. Kwakuwa mwanamke yeyote atakejifanya kuwa mwanaume ataurithi ufalme wa mbingu"
 
Halo wanawake,

Jishughulisheni wanawake na pia unachokipata wewe mwanamke ridhika nacho.

Mtoto wa kike usipotulia zitakazoumia ni sehemu zako za siri.

Hii ni taarifa fupi.
Hawata hamini mpaka mwisho wa dahari wasipo badilika
 
Unampigia mbuzi gitaa....hela ya mwanamke huwa ni ya starehe na kuvaa kupendeza na anayopewa na mwanaume ndio ya kufanya maendeleo......
 
Back
Top Bottom