Wanawake jishughulisheni na mridhike na vipato vyenu

Wanawake jishughulisheni na mridhike na vipato vyenu

wacha wawe omba omba tuwatafune vyema
wakiwa nazo coochie tutazipata kwa tochi

Nawasilisha
 
Vijana wa ovyo sana, yani Muumba amewaagiza wao wajishughulishe nao wamekuja kuwa viranja sahivi wanatuagiza sie tujishughulishe.....mbona pale Eden kila mtu alipewa jukumu lake.

Nakazia hatutaki
Kwakweli hatutaki, watuache tu 😂😂😂
 
Siku ya Ijumaa ndio siku inayo ongoza kwa mizinga na hasa jioni.

Mwanzoni nilikuwa na shangaa ila ndio nikaja kujua,wengi Jumamosi wana Vikoba.
 
Siku ya Ijumaa ndio siku inayo ongoza kwa mizinga na hasa jioni.

Mwanzoni nilikuwa na shangaa ila ndio nikaja kujua,wengi Jumamosi wana Vikoba.
Daaaah kweli kuna ukweli sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom