Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,736
Na inauma, kukaa ni unakalia trako mojaSasa hiyo K c itatoa had mosh??
Na inauma, kukaa ni unakalia trako mojaSasa hiyo K c itatoa had mosh??
Na inauma, kukaa ni unakalia trako moja
Ukiona mwanamke anakuambia hivo ujue unamboa, utakua hujui kitu kazi kurukaruka ruka kama chura na kuhema hema maliza tu kwakweli.....michosho
Na ukihisi tu maumivu you miss him....oooh maanamaanahahahahaaaaaa......na feni lazima ikuhusu!!!
Thubutuuuuu ukiambiwa fanya shaa ushuke ujue ni keroSio kwamba rigwaride linakuwa kali mpk mdada sasa anaomba poo.?!
Na ukihisi tu maumivu you miss him....oooh maanamaana
Na wale wanaokosa hamu mara tu baada ya kupizooo....! Nao inakuwaje coz wakishapizo hawataki tena uendelee..niaje hapo!
Kabisa........hata akitaka round 10......... Humkinai.........mnaweza kesha........
masaa mangapi??!!
Mmmh.. Preta round kumi kweli? Labda kama round moja ni dk5. Je, wale vidume wanaopiga round moja 30mins, wataka kusema akipiga round 10 utakuwa nae sambamba?
Sponsor hata akiwa team jogoo hakuna tabu, anapiga kamoja kakichovuuu ila unamwambia "thanks baby u a de fire" pyeee fire my foot l:couch2:Nimetolea tu mfano kwa mtu unaempenda........na sio sponsor.......
Hapo basi jua mwenzio hainjoy tatizo nyie wanaume mpo selfish sana wewe unajiangalia wewe...mfanye vizuriii ainjoy hatalalamika sio wewe unafanya kama unajaza pump kwenye tairi la gariii akhuuuu hata mm nakwambia nimechoka... tena wanawake wengine hawasemi ila ndo anakuchoka na yeye...
au anakuwa hana hamu maana usikute wajanja walishakula asubuhi ww unakula jioni
Na wale wanaokosa hamu mara tu baada ya kupizooo....! Nao inakuwaje coz wakishapizo hawataki tena uendelee..niaje hapo!
Nlitamani nifungue whatsapp video zangu tu niangalie wakati ye anaendelea kujirusha rusha kama maharage 😡