Na mara nyingi mwanaume ukiambiwa fanya haraka..........usijiulize maswali mengi........wewe ni sponsor tu........
ha ha ha.........tag your sponsor.............
Hapo basi jua mwenzio hainjoy tatizo nyie wanaume mpo selfish sana wewe unajiangalia wewe...mfanye vizuriii ainjoy hatalalamika sio wewe unafanya kama unajaza pump kwenye tairi la gariii akhuuuu hata mm nakwambia nimechoka... tena wanawake wengine hawasemi ila ndo anakuchoka na yeye...
mtu hafanyi maandalizi yoyote amaweka mkono tu chap kama anakupima homa, busu lenyewe la haraka kama kachomwa na mwiba wa samaki, anakimbilia papuchi nakuingia gafla kama panya anakimbizwa na nyoka . alaaaaa
Au huna mvuto...........hakupendi.........
sasa hakupendi angekuvulia " mchupi " wake? hapa ndipo wanawake mnapodharauliwa na mnadharaulika pia. kama unajua mwanaume humtaki iweje unakubali akukojolee?
:bump2:Me I do good though!!!! Huwa nasifiwa!!!Naona umekuja na neno la kujipa moyo
Mara nyingi wanaoto kauli hii ni machangudoa wanataka umalize wakatafute wateja wengine. Kama sio changu ni mwanamke wa kawaida basi huna ufundi wowote wa mahaba zaidi ya kusukuma ndani na kutoa dushe lako yaani unamchosha tu.
Una uhakika ni sifa ya kweli au kwakua tu we ndo sponsor?:bump2:Me I do good though!!!! Huwa nasifiwa!!!
Hujasoma neno "SPONSOR" huko juu..........?........kwa nini tunashindwa kuelewana jamani..........?..........
cc masai dada..........
Ya nini kuchoshana kama mtu mwenyewe hata la maana analolifanya hakuna!! Anajua kudumbukia na kutoka tu km anatwanga mahindi, swaga hakuna!! Aaah kwakweli mie nakusukumia hukoo nikaoge usinichoshe bila tija.
We atoto umenikimbia sio aya piga teke kapu la hela
Hujamaliza tu? Mi nimevhoka bwana, teh teh teh
Una uhakika ni sifa ya kweli au kwakua tu we ndo sponsor?
Hapo pa kuundia tume, maana report za urafiti zinasema zaidi ya 80 ya wanawake wanafeki orgasim
Mara nyingi wanaoto kauli hii ni machangudoa wanataka umalize wakatafute wateja wengine. Kama sio changu ni mwanamke wa kawaida basi huna ufundi wowote wa mahaba zaidi ya kusukuma ndani na kutoa dushe lako yaani unamchosha tu.