Wanawake: "Humalizi tu, mimi nimechoka"

Wanawake: "Humalizi tu, mimi nimechoka"

Mambo mengine shida tu .. bora nikomae na my wife .. nnayejua kona zote. Mengine Taaaabu tu ..
 
Hahahahah
Mbona mnampa za uso???

Mleta mada anajua kukomaa kiunoni ndio kumfurahisha mwanamke???

Uwe na amani kabisa mkuu, wala sio za uso, acha wadau watoe maoni yao, ukiona watu wanachangia makavu makavu ujue mada imewaingia na wahanga ni wengi sana. Ila ladies jifunzeni kuwa more participatory ktk mechi, msiwe kama magunia ya mpunga sokoni:what:
 
Uwe na amani kabisa mkuu, wala sio za uso, acha wadau watoe maoni yao, ukiona watu wanachangia makavu makavu ujue mada imewaingia na wahanga ni wengi sana. Ila ladies jifunzeni kuwa more participatory ktk mechi, msiwe kama magunia ya mpunga sokoni:what:
Participatory kwa kanyaboya???ukileta mbichi naleta zilizooza
 
Ukiona mwanamke anakuambia hivo ujue unamboa, utakua hujui kitu kazi kurukaruka ruka kama chura na kuhema hema maliza tu kwakweli.....michosho

Maneno yako yanaonesha uliwahi kumwambia mtu haya, hebu dadafua basi
 
Kijana mwanaume hasa kimaumbile hatoshelezwi na mwanamke mmoja chance ya kuchepuka ni kubwa sana. Sasa km mm muislam dini yangu imeruhusu sina shaka ninao wawili kwa hyo burdan. Hyo hali ipo sana kwamba nimechoka kwani kwl saa nyingine una miguvu mengi na yy amechoka tendo. Kubwa kuliko itafkia mahali wanakuwa hawana hamu kabisa kazi kukuturn off tu hapo ndio utalia nadhan km uko nae mmoja
 
Ila ladies jifunzeni kuwa more participatory ktk mechi, msiwe kama magunia ya mpunga sokoni:what:

Kwani unadhani mechi hatushiriki........?......tunashiriki sana mpaka kutoana kwa penalt...........

ndio maana tunasema.........ukiona unaambiwa hivyo........wewe ni sponsor tu........toka lini kilimanjaro lager wakacheza na Simba spoti klabu..........?.......ushawahi ona.........?.........
 
Back
Top Bottom