Wanawake ‘hit and run’

Ha ha ha,vinahusiana kabisa mbona
 
Kwa kweli havihusiana ila huenda ni visababishi pia game kuwa underperformance
 
Hii ipo against the law of nature, wewe angalia hata kuku(jogoo) unayemfuga hapo nyumbani anavyofanya utaielewa asili.
Nguvu ya asili inayoutawala uhai wa mnyama au ndege ni ile ile inayoyatawala maisha ya wanadamu.

In a very brief way mwanamke kuwa hit & run ni tabia za “ukimbulu” (abnormal)
 
Kuna viumbe Mungu akiviangalia mpaka anachoka yani kama sio kazi ya mikono yake Binadamu nikiumbe pendwa sana ila ndiye ambaye hana hofu juu ya Mungu kabisaaaaaaaaaaaaa bora hata shetani
 
It happens ndio 😂. Sometimes una nyege zako unataka tu sex, huna haja na relationship kwa wakati huo, sometimes unakuta ndio hivo ulimfancy jamaa hatari afu inafika kwa 6*6 hujamwelewa mbaya zaidi feelings zimesepa na nyege 😂.
 
It happens ndio 😂. Sometimes una nyege zako unataka tu sex, huna haja na relationship kwa wakati huo, sometimes unakuta ndio hivo ulimfancy jamaa hatari afu inafika kwa 6*6 hujamwelewa mbaya zaidi feelings zimesepa na nyege 😂.
Kha! Ila mie napenda sana wanawake wanao admit kuwa sometimes nyege zinazidi inabidi tuu upate de libolo
 
Hilo kanisa leo itabidi nije maana ulokole wenu mtamu kweli
Walokole walikuwa wa miaka ya 90.
Siku hizi haya makanisa yao yako kama mengine tu.
Unakutana na mwanamke humo tumemzalisha wanaume 3 tofauti na ni mzee wa kanisa.
Mabinti wanapata mimba hawajaolewa na wanaendelea kusali humo.
Kuna wazee Wana wake wengi Ila wapo humu.
Unakuta wamemchukua mke wa 4 wa jamaa na bado anaishi na jamaa.
Imefika stage maisha ya unafiki yamewashinda wamerudi kwenye uhalisia wao
 
na mwanaume pia ni hivyo malaya, lakin kiuelewa wetu mwanaume akiwa hivyo anaonekana lijali ila wewe unaonekana mrahisi (marage ya mbeya) watu wanakuweka tu na wanakutema within 24hrs
Social perception aka social blind perceptual. Yaani kisa dume mfume wao wameamua kujihararasishia madhambi yao. Tupo dunia inayoharalisha haramu na inayoharamisha halali.

Ni sawa na wezi serikalini ama viongozi tuliowapa madaraka Mara wamehalalisha wizi wao ili nafsi zao ziridhike utasikia urefu wa kamba ,marupurupu, posho posho ,ndio kula kwa kalamu,kusoma kuzuri,su aka Suma ule ,n.k
 
Acha tu yaan...sikuzote nyani haoni kundule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…