Wanawake hawa hawapo location,wapo kazini reality

Wanawake hawa hawapo location,wapo kazini reality

dem boyz

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
7,340
Reaction score
16,909
View attachment 1936988
Screenshot_20210914-101737-1.jpg
 
Kuna dada mmoja nadhani hajafikisha miaka 27 ni dereva wa basi NJOMBE - LUDEWA na ukizingatia barabara ni ya vumbi zaidi ya nusu ya safari.

Nilipandia Mlangali hadi Lusitu yeye akiwa kama dereva na konda wake mmoja ni wa kike mwingine wa kiume.
Yaani huduma safi kabisa!
 
Back
Top Bottom