Counsellor Sima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 539
- 570
That is ur personality dnt attribute certain irrationals for others.....ur not of the same behavior n personalities.....Consider the comment pls.
Baby J unapenda nitoe harufu kama beberu?kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
same... just ordinaryMi navaa kawaida tu sinaga cha nguo za sikukuu. Sivai kibishoo kama vijana wengine wa Daslam ila huwa nahakikisha niko clean tu. Nipo casual!!!
WambieKila mtu naona anapenda kivyake na kwa vigezo vyake.
Huu mwandiko unaamusha nyoka pangoni lakini miss.
Na asisahau miluzi mingi humpoteza mbwaKila mtu naona anapenda kivyake na kwa vigezo vyake.
Huu mwandiko unaamusha nyoka pangoni lakini miss.
Good,ila kila mtu ana mtazamo wakekabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Ndo mana akasema tuishi nao kwa akili sana mana ni wadhaifuhawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Hahaha duuuh.. Hapa tutaambiwa wanawake kweli hatueleweki.. Mwingine anataka smart, mwingine anataka hivi...kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Acha kupotosha jamii ya kike nchini. Umri umekupita na umekuwa Jamvi la wageni maana kila ID ninayotumia kutafutia mademu humu either kwa gia ya kuoa hukosekani PM....sura nzuri ni maajaliwa na hakuna asiyeipenda kwa jinsia zote, acha kujustfy lisura lako, coz you won't feel any better. Uvaaji ni utashi wa mtu na ni kitu muhimu kama unataka jamii ikutendee lolote hata kukupa mke bure. Ajuza mkubwa wewe. Gym ndio kashakuwa mmeo na kale ka ticha uzuri hakanaga time na vibongeKabla ya yote..Picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana, tupo simple sana sema wanaume mmefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi.
Niwapeni siri, wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuhonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda na kukufurahia hata uwe bilionea wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka na anaevaa kiume standard. Standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh.
Siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz, mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? Na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
Siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipualipua unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
Yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume. Wanawake ndo tulivyo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe. Mwanaume unajua kujipendezesha kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo.
So ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie.
doh kn ck nlkua na appointment na demu yaan nlkua nanukia kushinda ht yeye mpk nikawa najishtkiasijasema usioge oga ila sio mwanaume unapaka deodorant,unapuliza tena body spray na pafyumu unanukia kuliko hata dada zako bna?
Kama vile Kuna ukweli maana siku nilimdaka demu wa Mtu na kufanya yangu eti kapenda harufu yangu inamsisimua na mm bila kujua wala kuelewa. Asante.miss umenifungua macho kwa nn demu wa Mtu kalambwa. Naaendeleza mchakatoKabla ya yote..Picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana, tupo simple sana sema wanaume mmefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi.
Niwapeni siri, wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuhonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda na kukufurahia hata uwe bilionea wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka na anaevaa kiume standard. Standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh.
Siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz, mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? Na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
Siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipualipua unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
Yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume. Wanawake ndo tulivyo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe. Mwanaume unajua kujipendezesha kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo.
So ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie.
ulishawai kuniona pm kwako?Acha kupotosha jamii ya kike nchini. Umri umekupita na umekuwa Jamvi la wageni maana kila ID ninayotumia kutafutia mademu humu either kwa gia ya kuoa hukosekani PM....sura nzuri ni maajaliwa na hakuna asiyeipenda kwa jinsia zote, acha kujustfy lisura lako, coz you won't feel any better. Uvaaji ni utashi wa mtu na ni kitu muhimu kama unataka jamii ikutendee lolote hata kukupa mke bure. Ajuza mkubwa wewe. Gym ndio kashakuwa mmeo na kale ka ticha uzuri hakanaga time na vibonge