Home
Senior Member
- Mar 12, 2013
- 136
- 28
Swali kwa wadada
Unakuta unaenda sehemu kukutana na dada, anakugandisha sio chini ya nusu saa, ilihali wakati unatoka mlipanga kabisa muda wa kukutana, na akakubali, na wakati unatoka mpaka kufika unampa update zote na bado ukifika anakuweka kidogo,
Hii imekaaje?
Kuna nini hapa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unakuta unaenda sehemu kukutana na dada, anakugandisha sio chini ya nusu saa, ilihali wakati unatoka mlipanga kabisa muda wa kukutana, na akakubali, na wakati unatoka mpaka kufika unampa update zote na bado ukifika anakuweka kidogo,
Hii imekaaje?
Kuna nini hapa?
Sent from my iPhone using JamiiForums