Haya mmeeleweka ila basi jaribun kupunguza time kidogo , maana sometimes Huwa hatuelewiwanaume huwa ndio wanafikiria hivyo dear lakini kiukweli sio kweli. Wanawake tunapenda kweli kumake sure everything is perfect. Thanks .
nilishajizoelea kuchomeshwa mahindi mkuu,hata masaa matatu huwa nakaaga,ila akija nitakavyoipiga kama naua nyoka vile,teke,ngumi,kichwa,kiwiko,kifuti,konzi,nang'ata na meno,nasimama juu yake naruka ruka,nabamiza etc yaani mpaka ilainike......
nilishajizoelea kuchomeshwa mahindi mkuu,hata masaa matatu huwa nakaaga,ila akija nitakavyoipiga kama naua nyoka vile,teke,ngumi,kichwa,kiwiko,kifuti,konzi,nang'ata na meno,nasimama juu yake naruka ruka,nabamiza etc yaani mpaka ilainike......
Kaka kitoromoni, umetisha sana ,
Ila inategemea , unaweza kukuta ushirikiano F, itakuwa Mbinde kufanya hayo...
Or nyingine worth waiting for, package imejaa vizur,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haya mmeeleweka ila basi jaribun kupunguza time kidogo , maana sometimes Huwa hatuelewi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Na waweza kubadilisha hata mara sita