Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,737
- 11,096
Ukiwa na mwanamke wa kileo jitahidi sana ujifunze au uzifahamu tabia zote za kishenzi........vinginevyo utaendelea kupigwa kila siku....
Nilimkuta kajifungua mapacha aliyempa mimba kasepa mtoto mmoja akafariki .. aliyebakia akagundulika ana shida ya moyo hela ya matibabu alikuwa hana nikawa nagharimia na baadae nikamkatia Bima... .. miaka mitatu mtoto katengamaa kakuwa kilichonikuta .... duu hawa wanawake acheni tuUnakutana na mwanamke amefwafwanzika hakuna anayemtamani na kitoto chake chenye utapiamlo.
Unamchukua mnaanza kufanya maisha, anaanza kupendeza na kuvutia wengine, baadaye anaamua kukusaliti kabisa na kuanza kukuona si chochote.
Mbaya zaidi mwishoni unapewa jibu la "fanya mambo yako"
Kweli nimeamini usitongoze mwanamke akiwa kwenye matatizo , matatizo yake yakiisha lazima akusahau.
pole sana mkuu"Nilimkuta kajifungua mapacha aliyempa mimba kasepa mtoto mmoja akafariki .. aliyebakia akagundulika ana shida ya moyo hela ya matibabu alikuwa hana nikawa nagharimia na baadae nikamkatia Bima... .. miaka mitatu mtoto katengamaa kakuwa kilichonikuta .... duu hawa wanawake acheni tu
Mkuu nimekucheki pm.Dawa yao ndogo sana, kwa kuwa wako na tamaa ya pesa basi unafanya kuruka ukuta tu. Hata akiondoka hakuna kuumia kabisa.
Mkishajifunika shuka moja basi huwezi fikiria wala kumbuka chochote, zaidi yakuona kile ukionacho.Kati ya somo gumu kueleweka hata kushinda hesabu ni hili la mapenz...kila siku watu wanashauri kwa kutoa nondo nzito ila watu bdo watu wanarudia makosa yale yale....yaan unatakiwa usimwamn binadamu awae yyte...hata wewe kuna muda usiamin maamuzi yako
Ndugu wee Wanapata hao walio fwambafwambaWengine bahati kama hizi hatuzipati
Kumbe uliingia mwenyewe kichaka kinachofuka moshi bila kumjua aliyekiwasha alimaanisha nini, pole sana.Nilimkuta kajifungua mapacha aliyempa mimba kasepa mtoto mmoja akafariki .. aliyebakia akagundulika ana shida ya moyo hela ya matibabu alikuwa hana nikawa nagharimia na baadae nikamkatia Bima... .. miaka mitatu mtoto katengamaa kakuwa kilichonikuta .... duu hawa wanawake acheni tu
ujue hawajaligundua hilo.Kampuni za bima zikianzisha bima za mapenzi zitapata faida kubwa sana
Ni kweli aiseeeNdugu wee Wanapata hao walio fwambafwamba