Wanawake hamnaga shukrani kabisa

20220801_143150.jpg
 
Unakutana na mwanamke amefwafwanzika hakuna anayemtamani na kitoto chake chenye utapiamlo.

Unamchukua mnaanza kufanya maisha, anaanza kupendeza na kuvutia wengine, baadaye anaamua kukusaliti kabisa na kuanza kukuona si chochote.

Mbaya zaidi mwishoni unapewa jibu la "fanya mambo yako"

Kweli nimeamini usitongoze mwanamke akiwa kwenye matatizo , matatizo yake yakiisha lazima akusahau.
Nilimkuta kajifungua mapacha aliyempa mimba kasepa mtoto mmoja akafariki .. aliyebakia akagundulika ana shida ya moyo hela ya matibabu alikuwa hana nikawa nagharimia na baadae nikamkatia Bima... .. miaka mitatu mtoto katengamaa kakuwa kilichonikuta .... duu hawa wanawake acheni tu
 
Wengi wanaolewa sababu ya shida zao yaani hana ramani kachoka kukaa kwao kapata mfadhili, au kapata mtu wa kuyabeba majukumu ya mzazi wake yaani kumuhudumia. Hivyo hawajui nini hasa maana ya ndoa ni nini.
 
Kati ya somo gumu kueleweka hata kushinda hesabu ni hili la mapenz...kila siku watu wanashauri kwa kutoa nondo nzito ila watu bdo watu wanarudia makosa yale yale....yaan unatakiwa usimwamn binadamu awae yyte...hata wewe kuna muda usiamin maamuzi yako
Mkishajifunika shuka moja basi huwezi fikiria wala kumbuka chochote, zaidi yakuona kile ukionacho.
 
Nilimkuta kajifungua mapacha aliyempa mimba kasepa mtoto mmoja akafariki .. aliyebakia akagundulika ana shida ya moyo hela ya matibabu alikuwa hana nikawa nagharimia na baadae nikamkatia Bima... .. miaka mitatu mtoto katengamaa kakuwa kilichonikuta .... duu hawa wanawake acheni tu
Kumbe uliingia mwenyewe kichaka kinachofuka moshi bila kumjua aliyekiwasha alimaanisha nini, pole sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom