Wanawake Geita watoa machozi kwa Mama Samia

Wanawake Geita watoa machozi kwa Mama Samia

Ivi watu kulia hadi machozi ni kwamba wamemfurahia? ama wanauchungu na serikali ya ccm jinsi ilivo wasahau hebu kuweni na utambuzi siyo mnashangilia tu kwamba wamemlilia. Hao ni wana uchungu wa mateso ya miaka na miaka.
 
Aisee SAMIA endelea kutembeza sera wewe ni baraa tanzania ya magufuli ni kazi tu
 
Serikali Ni ya Ukawa (chadema) na mh. Lowassa ndiye rais wa JMT. Hao CCM Wanapoteza muda tu, Watanzania

Waishaamua Ni Lowassa 2015.

Nyomi za kampeni tuziweke pembeni na mbali, kwani haziwakilishi uhakisia wa ushindi. Kama wewe ni mtu makini, tazama umri wa watu wanaohudhuria mikutano hiyo na matendo yao. Hiyo itakupa picha halisi ya nani ni mpiga kura wa kweli. Mikutano ya kampeni iliyojaa ushabiki ni vurumai na uhuni mtupu ya watoto wa mjini, watu wenye hekima na busara hawahudhurii.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Nyomi za kampeni tuziweke pembeni na mbali, kwani haziwakilishi uhakisia wa ushindi. Kama wewe ni mtu makini, tazama umri wa watu wanaohudhuria mikutano hiyo na matendo yao. Hiyo itakupa picha halisi ya nani ni mpiga kura wa kweli. Mikutano ya kampeni iliyojaa ushabiki ni vurumai na uhuni mtupu ya watoto wa mjini, watu wenye hekima na busara hawahudhurii.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

tangu ln wahuni sio watanzania?

Nyomi za kampeni tuziweke pembeni na mbali, kwani haziwakilishi uhakisia wa ushindi.

unadhani wanakuja kufanya nini apo kwenye mkutano?
 
acha urongo. hayo machozi mbona hatuyaoni. hata hivyo walie kwa kutelekezwa na mafisiem miaka 54 sasa
 

Attachments

  • 11873478_827494597347835_135105622057025183_n.jpg
    11873478_827494597347835_135105622057025183_n.jpg
    80.6 KB · Views: 147
Hivi hao wanawake wanadhani mama Samia ni tofauti na hao CCM wengine?

akili za kitanzania kwi kwi kwiii... waichague tena ccm ili wasome namba vizuri.
 
Mawazo ya kindergarten hivyo kanywe cerelac kidogo iliyobakia nitakununulia ingine kesho. Usisahau kuosha mdomo inzi wasikufuate mwanangu. Haya usiku mwema usisahau kukojoa kabla ya kulala. Sisi hapa kazi tu hadi kukuche.

hahahahaha hapa kazi tu kujenga watoto wengine hahaha ccm mmeishiwa
 
Safi saana. Wanawake wenzake wanalia machozi kuona jinsi ambavyo mwanamama mwenzao ameamua kuwahadaa tena. Wamekumbuka ahadi za ccm kuwa hazitekelezekiiiii

Hawa wamama wanaolia ni kuwa- hawajui walitendalo!
 
Usanii mtupu labda walikuwa wamepewa hela wakalie kwenye mkutano! Unaenda kumlilia fisi akupe nyama wakati akiwa na njaa? Anachokifanya ni kukudanganya tu ili uingie kwenye anga zake akufaidi kama kitoweo!
Unafikiri ndiyo lowasa anatumia mapepo, fotoshop, kuhonga watu hela wazomee, kutembea na watu toka arusha, mnadhani sisi hatujui mbinu zenu? CCM lazima ishinde, taifa haliwezi kukabiziwa kwa mwizi, jambazi, na fisadi
 
maelfu ya wananchi wakiwemo wanawake wamejikuta wakitoa machozi wakati wa mapokezi ya mama samia.hata hivo mama samia amewaahidi kuwa serikali yake itaweka mkazo katika kuboresha huduma za maji na afya mkoani geita ili kupunguza adha za wanawake.









maelfu ya wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya ccm, mama samia suluhu hassan alipohutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la geita mjini mkoani geita leo


wanatokwa machozi kwa sababu wanaionea huruma ccm,inavyoenda kuzikwa tarehe 25oct.2015
 
Huyu Mama kwa mzanzibar kuitetea serikali mbili hawezi enda ZNZ kufanya kampeni!Technically Mama huyu ndiye KAMFUKUZISHA kazi Dr Shein Oktoba 25
 
Back
Top Bottom