Wanawake bwana??!

Wanawake bwana??!

Ningemsubiri mume wangu na kumuuliza, au kwa vile sio incriminating kihivyo ningeignore na kufanya upelelezi. Na more likely nisingeikuta kwani sina tabia yakupekua simu za watu.

mie hata simu ya mama yake iite hapo sipokei, sitakagi kabisa, nakumbuka kuna siku alisahau simu home akiwahi kazini,inaita naiangalia tu, kumbe ni yeye ananical nimpitishie ofisini kwake, na niliiacha hapo alipoiacha, jioni yake alini mind haswaa, kwamba kwanini sikupokea sijui nini na nini, alileta noma haswaaaa, ukweli ni kwamba sina muda na simu ya mtu kwa kweli.
 
h heeee, mimi aliyenitukana alikuwa mchumba......
ndoa mpaka leo anaisikia kwa jirani, na jamaa alishammwaga zamaaani

hivi dear wewe unawezaga kupekua simu ya "baba kachala"? na sababu gani zinakufanya upekue/usipekuwe?
 
Yani nawadharau kweli wanawake wenye temper za kijinga kihivo,,wanajifanyaga mae-FBI kumbe ni kujidhalilisha tu maana hapo angemuliza huyo mmewe pengine kwa jinsi ambavyo angeexplain angejua kosa ni la huyo mmewe or lako b4 hata hajakupigia....

eti anajidai ameniambia ni nyumba ndogo yake. Hayo yameniuma sana because I respect myself as a married woman and am under oath!! Ameniboa Toria.
 
Aisee ilishanikuta hii..ila yule dada hatakaa asahau!!!
Imagine ni mkaka ambae nlikuwa namfundisha kazi coz n mgeni! Bibie akakuta msg ya:
'naomba kesho unikumbushe,ubarikiwe na siku njema'
bibie ndevu za ulimi zikamuwasha,et bila kuuliza kitu,akaanza et naomba umuache flan ni mpenz wang,na matusi juu. Nikamvutia pumzi,nkamwambia,mbna me n mme wangu,nawe nakujua hawara yake,sie tuna ndoa na mtoto.. Kwao wote nwajua.. Au unataka nkwmbie jana na leo amevaaje?maana ad chup nlimchagulia!!!
Palinuka uko.. Mkaka akaja na samahani kilo mia!! Had kesho mdada hana hamu!!!
Some mademu wana simple minds!! Yan wanakurupuka kama wanakimbizwa usingizini!!

hiyo ndio dawa! Safi sana Swts. Akipiga tena analo.
 
Aisee Swts unge muua kwa pressure dada wa watu!
Daaaah

Aisee ilishanikuta hii..ila yule dada hatakaa asahau!!!
Imagine ni mkaka ambae nlikuwa namfundisha kazi coz n mgeni! Bibie akakuta msg ya:
'naomba kesho unikumbushe,ubarikiwe na siku njema'
bibie ndevu za ulimi zikamuwasha,et bila kuuliza kitu,akaanza et naomba umuache flan ni mpenz wang,na matusi juu. Nikamvutia pumzi,nkamwambia,mbna me n mme wangu,nawe nakujua hawara yake,sie tuna ndoa na mtoto.. Kwao wote nwajua.. Au unataka nkwmbie jana na leo amevaaje?maana ad chup nlimchagulia!!!
Palinuka uko.. Mkaka akaja na samahani kilo mia!! Had kesho mdada hana hamu!!!
Some mademu wana simple minds!! Yan wanakurupuka kama wanakimbizwa usingizini!!
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mwanamke wa hivyo hajiamini na anamatatizo binafsi. wewe unakurupuka na kuanza kufokea mtu humjui?
Mimi nilipigiwa na kadada kakatoa kashfa wee, kumbe huyo boy friend wake ni binamu yangu, tena mdogo kwelikweli, baada ya kuneana nikakauliza through kakajibu ndio. Nikakatwangia kajamaa kake, wakabebana mkuku kwangu nilipo kaona tu nikakasamehe kanawasiwasi kama kanataka kuruka nikakaonya sidhani kama kamerudia kufanya upuuzi huo kwa mtu!

sijui hata tatizo ni nini. Wanaiwaibia wametulia tuliii!
 
Nafikiri ni jazba tu na hofu ya kuibiwa. Kosa alilofanya ni kukupigia wewe na kukuwashia moto badala ya kutafuta ukweli. Chukulia mfano, wewe ungekuta meseji ya namna hiyo kwenye simu ya mumeo ungefanya nini?

nakaa kimya. Kilinituma nini nipekue simu yake?
 
Pole sana,wanawake wengi wanatabia hii,the best thing to do ni kumuacha aropoke wee,then unampa makavu,tena ya kumchoma moyo next time anajifunza kusolve disputes amicably.
 
Wanawake kwa wanawake hapo nawapendea uzalendo wenu kwenye kushughulikiana katika mambo haya!

uwe na proof ya kutosha kuwa unaibiwa basi. Na mwizi umjue sio kukurupuka. Umdhaniae sie.
 
nini huyo alikuta msg kwenye draft?
mimi nilipigiwa sababu tu mtu alikuta namba yangu kwa fonebook....hata kunijua hanijui wala kunisikia hajawahi, lol!

'nasafiri karibuni baby' FP. Pole na wewe yaliyokusibu.
 
Mimi kuna dada Rafik fb na tunashare kabila sasa kuna siku akanitex that she is so down.kuna ishu imembore kazini.nikambigia tukaongea mpaka nikamrudisha kwa normal mood.the next day usiku akanitext good night,nikamjibu same to you,nikamwambia asante.eeeh!mara simu ikapigwa kwa namba yake.nikapokea OMG! Male voice,eti "huyu uliyekuwa unachart nae amechoka kalala,na tunataka kuenjoy each other kwa sasa,samahani kama ajakwambia yeye ni mke wa mtu" nikamuuliza hiyo ndoa ilifungwa sayari gani? Kama ni earth then sio mke wako sema unazini nae.alafu sikujua kama huyo unaedai ni mke wako is too low to unextend ya kulala na mtu kama wewe unae tumia simu ya hawara yako kunipigia wakati yeye ndio kanianza.nikafuta na namba.the next day akanitumia mail fb (huyo dada) eti am sory unajua Abcd,nikamuambia ucjali enjoy your self with your man madam.kama vp unaweza ukani unfriend au futa namba zangu.sio ustaraabu kabisa.bahati nzuri that day mke wangu mama ojwang alikuwa sebuleni anacheki tamthilia.pangechimbikajee.
 
Hao wanawake wanaopenda kukurupuka mie nawatafuta sana sijui kwa nini siwapati! Hivi badala ya kushughulika na mumeo au mpenzio unamtafuta mwingine usiyejua hata anafananaje?wengine mtakuta ni maboss wa waume zenu ndo hapo kibarua kitakapoota nyasi!:flypig:
 
Unapojiandaa kuoa, Wakatoliki wanakupeleka Semina ya Ndoa. Inafundisha jinsi ya kuishi kwenye ndoa. Ukifuata mafundisho yake utaishi raha milele. Mojawapo ya makatazo ni upelelezi, yaani ushushushu. Kwani nani asiye na wivu? Ukianza kumchunguza mumeo au mkeo, unamtoa imani. Sasa hapo wa kulaumiwa ni nani?

Labda muwekeane makubaliano kwamba kila mmoja wenu ana haki ya kuikagua simu ya mwenzake. Vinginevyo usiikague simu yake. Utakavyovikuta vitakuumiza mpaka utajuta kwa nini uliikagua.

Am speaking from experience!
 
'nasafiri karibuni baby' FP. Pole na wewe yaliyokusibu.
yaani yameshanikuta mara nyingi tu na wala sijali.
kuna siku nilipigiwa simu na dada mmoja siku nzima..... yaani kila baada ya lisaa limoja au mawili anapiga kunitukana. Kisa eti ile namba yangu ni simu ya mumewe. anasema anapiga simu ya mumewe napokea mimi hawara yake......
halafu hiyo siku nilikuwa na harusi ambayo nasimamia.
Saloon saa zote natukanwa..... siwezi kuzima simu sababu nina simu za maana nitazimiss
 
Huu ujinga wa kupekuana hauko kwa wanawake pekee hata sisi wanaume tunao..na tena hua tunakurupuku kama vibaka wa mwembeyanga..! La muhimu ni kwamba binadamu hachungwi..!
 
sio mzima huyo...... Kakuta msg hata kuchunguza?????? halafu kwa nini asi-deal kwanza na mumewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom