Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
Ukiona mtu hakutaki muache. Ukilazimisha lazima yakukute mazito.Weee Ndo Watu Waumizane?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu hakutaki muache. Ukilazimisha lazima yakukute mazito.Weee Ndo Watu Waumizane?
Sa kama ndo Moyo unataka?
Utapata tabu sana, huwez lazimisha hayo mambo.Sa kama ndo Moyo unataka?
Lakin sio dhambi kuchagua pale mahala moyo wako umeridhia.ndo wako hivyo mkuu
Huyo nae hajielewi ina maana anarudi kutafuta huruma lkn kikawaida si rahisi kuwa na mtu kwa sababu tu kaonesha upendo, tunakuwa na watu tunaowapenda pia mambo yakibuma basi. Kuishi na mtu humpendi ni kazi mno.Kwasababu yule dada alivyoona tayar kapewa mimba alianza ku kuonyesha love kwa yule jamaa aliyemzingua
Hatueleweki wote tu, we jaribu hata kupitia nyuzi za watu humu si wanawake wala wanaume wengi wetu hatueleweki.Pamoja na hayo wana wake huwa hawaeleweki

jamaa alishangaa sana et...Aah Wee labda Sio mimi, Haiezekan Mmeumbwa kwa Mfano wetu afu mtwambie si type zenu
Huwezi elewa mapenzi ni Nini kama unadhania hela zako ama kipato chako ndo hisia za mwanamke! pole kwa ukataliwa mkuuWadau kuna kitu wanawake huwa wanakosea sana, unakuta kuna mchizi anampenda kinoma na mchizi anatia mavoko kabisa sometimes na kutuma hata watu wa karibu kwa demu wamueleze lakini unakuta demu anazingua, nyodo nyingi na kumuona mshkaji kama lofa flani hivi na unakuta mwamba anaeleweka tu.
Sasa inakwenda hivyo mpaka mwamba unakuta anakata tamaa na kuacha kabisa kufatilia tena.
Cha ajabu sasa huyo dem ukimfatilia utakuta mtu anaye sumbuka nae hana hata mpngo nae lijamaa unakuta kwanza halina kipato na matokeo yke anapewa mimba halafu lijamaa linakataa hiyo mimba.
Sasa swali langu ni kwamba inamana mdem huwa hawajui mwanaume anaye mpenda au wana amua tu kujitoa ufahamu?
Aah Wee labda Sio mimi, Haiezekan Mmeumbwa kwa Mfano wetu afu mtwambie si type zenu
wee yatakuja kukukuta mazito nipo hapa nasubiri.Hatueleweki wote tu, we jaribu hata kupitia nyuzi za watu humu si wanawake wala wanaume wengi wetu hatueleweki.
Sent using Jamii Forums mobile app



Kisa kingine kuna dem alikuwa anaonyesha kabisa dalili za kumpenda jamaa mala amkonyeze, amuangalie....jamaa si akaanza kupanga mikakati ya kumtongoza dem....yaani huwezi amini jamaa alikataliwa ..tena kwa matusi ya nguonijamaa alishangaa sana et...

mambo yetu mtuache nayo wenyewe. Sasa mtu kukonyezwa tu tayari kajua anapendwa,pole yake.mambo yetu mtuache nayo wenyewe. Sasa mtu kukonyezwa tu tayari kajua anapendwa,pole yake.
Sent using Jamii Forums mobile app


