Wanawake bana...

Wanawake bana...

Kuna wanaume wanahudumia sana joan ila hawajui mambo wakikukiss kama mtoto umemuweka akuchafue sikio au shingo anakung'ata anakufinya sasa wanini.
Umesema point kweli kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio wanavyofanyaga??? Me ukishanipa mara ya kwanza utarudia tena na tena na tena hata kama n mama mchungaji n bora usingenipa kabla sio kuleta msimamo wakati ulishakubal
Mcha Mungu maana yake hatopewa mbunye maana ni dhambi
 
Unakuta unamgharamia kila kitu ye hana kazi wala nini lakini hicho hicho unachompa anaenda kumpa jamaa mwingine ,kama haitoshi amempa na mbunye wakati wote anavotaka lkn Wewe kwa masharti kibao... Dah
Wanawake banaa...
Jifunze kutokuwa kupe using'ang'anie ng'ang'aniiiii
 
HAPO TATIZO SI MWANAMKE BALI NI WEWE UMESHINDWA KUJIONGEZA BADALA YAKE UNALALAMIKA
 
Ndio wanavyofanyaga??? Me ukishanipa mara ya kwanza utarudia tena na tena na tena hata kama n mama mchungaji n bora usingenipa kabla sio kuleta msimamo wakati ulishakubal
Hata mara moja hupewi
 
Unakuta unamgharamia kila kitu ye hana kazi wala nini lakini hicho hicho unachompa anaenda kumpa jamaa mwingine ,kama haitoshi amempa na mbunye wakati wote anavotaka lkn Wewe kwa masharti kibao... Dah
Wanawake banaa...
Ni mkeo? Kama sio acha kujipendekeza
 
Unakuta unamgharamia kila kitu ye hana kazi wala nini lakini hicho hicho unachompa anaenda kumpa jamaa mwingine ,kama haitoshi amempa na mbunye wakati wote anavotaka lkn Wewe kwa masharti kibao... Dah
Wanawake banaa...
Mimi nampenda Demu kama zima moto kila ukiwa na emergency yaani fresh tu,sio unaomba mchezo jumatatu unakuja kupewa Jumamosi!
Kwani kuamwacha bei gani!!?
 
True Hadi aoe.. bila kufunga ndoa hapati chochote.

Na kama anataka wauzaji asilalamike[emoji1787][emoji1787]
Nitavumilia mpaka ndoa kama huyo mwanamke nina uhakika ni bikra FULLSTOP
 
Bikra na uaminifu ni vitu viwili tofauti sana. Zamani wanawake walikua hawapandi daladala, siku hizi kuingia kwa daladala kupitia madirishani kumeondoa hadi bikra[emoji1787]
Nitavumilia mpaka ndoa kama huyo mwanamke nina uhakika ni bikra FULLSTOP
 
Ukiona unatoa pesa na kuhudumia ila bado unapewa masharti ya kupewa mchezo hapo kuna mawili

Hakupendi
Hujui game anaona unamchosha tu
Mwingine anakupa kwa yale masharti ya kusema kwamba jana tulifanya leo na kesho tupitishe ili naye awe na hamu....

Vipi huyu au ni sababu tu
 
Back
Top Bottom