Wanawake badilisheni maswali!

Wanawake badilisheni maswali!

mbwana semsimbazi

Senior Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
196
Reaction score
202
Tangu mwaka 1980 wanawake hawajabadilisha maswali pindi wanapotongozwa.

Swali la kwanza wanauliza "HIVI WANAWAKE WOOOTE HUJAWAONA MPAKA UJE KWANGU?"

Swali la pili wanauliza "NITAAMINI VIPI KAMA UNANIPENDA?"
Swali la tatu wanauliza "KIPI HASA KIMEFANYA UNIPENDE?"

Acheni hizo nyinyi badilisheni maswali wanaume tumekalili.
 
Usijichoshe kwa maneno, mpe Pesa
1474960551933.jpg
shika mkono, peleka ghetto piga mbupu
 
Mwanamke wa kuoa ni yule unayempa jibu lolote akakubaliana na jibu lako hata kama ni la uongo. Ila wapo wengine wanakomaa kutafuta majibu halisi utadhani wanasahihisha mtihani wa NECTA na mara nyingi wanaishia kupata stress wasipopewa majibu wanayoyataka.
Sikia maswali ambayo inabidi we mwanake uridhike na jibu lolote
  • Unataka kunioa au kunichezea? ......Sanasana utaambiwa atakuoa we Kubali ila chochote kinaweza kutokea
  • Vipi weekend utanitoa out?.............Asipokutoa acha kukomaa naye potezea
 
Hivi.....
Hao wanawake wa hivyo bado wapo kweli..
Labda unawazungumzia wasichana aiseeee.... sitaki kuamini kama hao unao wasema ni wanawake
 
Sasa mbona Mada hainamshiko sasa ukishatongoza unataka awe bubu, si anakuliza maswali ambayo mwisho wa cku yatajenga future yenu, acheni kila cku kudiscus wanawake weken Mada zenye mshiko
 
Ukitaka maswali ya badilike uwe unajua kutumia pesa, unaongea kwa minoti minoti utaona wenyewe wanakufata ulipo, kama bendera bin upepo.
 
hayatabadilika kamwe...... mnakatabia kakusema kila jambo ni BAHATI MBAYA.........../SIKUJUA n.k
 
Mwisho wa siku anakwambia
''NIMEKUKUBALIA LAKINI SITAKI TUFANYE MAPENZI MPAKA TUOANE''
 
Wanawake wanapenda kujiridhisha!na hapo ndo wanaume wanapata udhaifu wao na huo udhaifu wao ndio wanaochapiwa nao
 
Back
Top Bottom