Wanawake ambao hawajaolewa huwa na hasira/frustration?

Ukiona dada anaonyesha hizo signs muendee faragha huenda ukamsaidia....
 
jamani habari zenu,
nimekuwa nikijiuliza sana, maana ofisini tuna dada mmoja aged 30yrs hajaolewa, yaani yeye amekuwa gumzo kwa wateja, ana harsh language,hasira hazimuishi, pia hata akiwa na wenzake yeye maada zote za mahusiano na familia yupo negative.
sasa mbali na huyo, nina experience ya dada mwingine mtaani, yaani ni vilivile yeye ni 34 yrs. mara aseme "kuolewa kitu gani"? mara "dah nikipata mme" yaani simuelewi.
nikajiuliza hivi mwanamke asipopata fursa ya kuolewa ana panic?
nawasilisha
xmass njema
sitii neno ila kuna vielement vya ukweli kbssss.
 
Kwa nini umerukia "ndoa"
Je wamewahi kukwambia hasira zao zimeletwa
sababu hiyo ( hawajaolewa) ? au ni una guess tu??

Maana mtu anaweza ku kasirika kuhusu kitu kingine
kabisa.. Na kila utakapo muuliza kuhusu chochote kile
atakuwa yuko Negative ..

mamie ucjb kwa hasira hali ni hiyo, kwan ww una age gan............. nway ngoja ugonge 30s uko ndio utajua tena especially 35 and above afu upande wa pili hauelewek hakuna kina mzabzab, excellent wala the boss lazima macho yakutoke.
kibaya unakuwa hujijui kuwa uko ivo lol yan m2 wa hasira na stress.
 
nahisi tabia ya mtu hata akiolewa bado atabaki kuwa hivo hivo
nenda sehehemu kama tigo,airtel au voda pale customer care utakuta wamevaa pete za ndoa but lugha zao mboooooofuuuu
tatizo watanzania wengi bado hatuna lugha laini kwa wateja
ngekuwa boss ngetimua mbali watu kama hao wanaharibu business.
kama stress zake home kwake na sio kazini.
 
Somehow i find it true ingawa sio kwa wanawake wote i've seen a few of them with such attitude..
 
Kwa nini umerukia "ndoa"
Je wamewahi kukwambia hasira zao zimeletwa
sababu hiyo ( hawajaolewa) ? au ni una guess tu??

Maana mtu anaweza ku kasirika kuhusu kitu kingine
kabisa.. Na kila utakapo muuliza kuhusu chochote kile
atakuwa yuko Negative ..

Sema ukweli wewe umeolewa?
 
jamani habari zenu,
nimekuwa nikijiuliza sana, maana ofisini tuna dada mmoja aged 30yrs hajaolewa, yaani yeye amekuwa gumzo kwa wateja, ana harsh language,hasira hazimuishi, pia hata akiwa na wenzake yeye maada zote za mahusiano na familia yupo negative.
sasa mbali na huyo, nina experience ya dada mwingine mtaani, yaani ni vilivile yeye ni 34 yrs. mara aseme "kuolewa kitu gani"? mara "dah nikipata mme" yaani simuelewi.
nikajiuliza hivi mwanamke asipopata fursa ya kuolewa ana panic?
nawasilisha
xmass njema
Mkuu una valid point ingawa kuna walio sensitive watamaind.... there is a truth, ni sawa na mama ambaye nyumbani hapewi mshedede huwa na visirani mno!!

wanasema unaweza kujua mama kama anapata da'awa home pale anapokua hana visirani, pili akina dada wanaoelekea machweo na dnoto za ndoa zinayeyuka (na kama anapenda kuolewa) wanakua very sensitive

ila kwa kawaida we dont say those things wanakua overly sensitive
 
Kwa nini umerukia "ndoa"
Je wamewahi kukwambia hasira zao zimeletwa
sababu hiyo ( hawajaolewa) ? au ni una guess tu??

Maana mtu anaweza ku kasirika kuhusu kitu kingine
kabisa.. Na kila utakapo muuliza kuhusu chochote kile
atakuwa yuko Negative ..

shusha pumzi aisee
 
Back
Top Bottom