colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
- Thread starter
- #61
Na mtoto mzur kama yule ndio mkuuNi mara yako ya kwanza kukonyezwa au??!
Na mtoto mzur kama yule ndio mkuuNi mara yako ya kwanza kukonyezwa au??!
Basi ww waki shua ila watu uswazi hawawez kosa hio kituSijawahi kula hayo makitu mie
Mkuu inategemea na alietoa mkonyezoUnalegea haraka mkuu konyezo tu tayari
Labda kwa pesaMkuu inategemea na alietoa mkonyezo
Naamin ipo sku yatakukuta na ww utaja toa nyuzi humu
Hahaa miss chagga hujakutana na ma hb wewe ukakuta ile kitu inaitwa love at first sightLabda kwa pesa
Nina uhakika siku utayokutana na mm face to face na ww utatoa mkonyezoLabda kwa pesa
Labda unionyeshe pesa ila sura yako neverNina uhakika siku utayokutana na mm face to face na ww utatoa mkonyezo
HahahaahaUmenikumbusha mwaka 1995 na utundu wa uvulana rijali. Ilitokea kama zali siku moja kwenye daladala nilikua nimekaa siti moja na demu mkali sana majira ya kama saa mbili usiku, hatukua tunasemeshana lakini alipokuja konda yule dada akatoa nauli kumpa konda akimwambia akate ya watu wawili yaani yake na yangu!
Kidume nikaona nyota ya jaha imenidondokea, dada akawa anashuka kituo kinachofuata na mimi japo hakikua kituo changu nikashuka nae. Sasa bana nikajidai na mimi naenda muelekeo anaoenda yeye huku naanza kumsemesha. Hatua chache tu dada akasimama ghafla akanigeukia na kuniuliza 'unakwenda wapi?kukulipia nauli imekua nongwa? Mawazo yako yanakutuma nimejitongozesha kwako, hivi wanaume mkoje?' Basi nilikula za uso za kutosha, lakini kwa vile ilikua ni usiku watu wengi hawakushtukia, mimi huyo nikageuza nikarudi kituoni kusubiri gari niendelee na safari yangu
Vip mkuu nawe yalishawai kukuta ??Hahahaaha
Hapana mkuu hayajawahi kunikutaVip mkuu nawe yalishawai kukuta ??
Naona umekata sna mbavuHapana mkuu hayajawahi kunikuta
Nimecheka hicho kisa cha jamaaNaona umekata sna mbavu
Ouk nimekusomaNimecheka hicho kisa cha jamaa
Kulipiwa nauli kajua hapo ndo bhasi tena
Umenikumbusha mwaka 1995 na utundu wa uvulana rijali. Ilitokea kama zali siku moja kwenye daladala nilikua nimekaa siti moja na demu mkali sana majira ya kama saa mbili usiku, hatukua tunasemeshana lakini alipokuja konda yule dada akatoa nauli kumpa konda akimwambia akate ya watu wawili yaani yake na yangu!
Kidume nikaona nyota ya jaha imenidondokea, dada akawa anashuka kituo kinachofuata na mimi japo hakikua kituo changu nikashuka nae. Sasa bana nikajidai na mimi naenda muelekeo anaoenda yeye huku naanza kumsemesha. Hatua chache tu dada akasimama ghafla akanigeukia na kuniuliza 'unakwenda wapi?kukulipia nauli imekua nongwa? Mawazo yako yanakutuma nimejitongozesha kwako, hivi wanaume mkoje?' Basi nilikula za uso za kutosha, lakini kwa vile ilikua ni usiku watu wengi hawakushtukia, mimi huyo nikageuza nikarudi kituoni kusubiri gari niendelee na safari yangu







pole mkuuUmenikumbusha mwaka 1995 na utundu wa uvulana rijali. Ilitokea kama zali siku moja kwenye daladala nilikua nimekaa siti moja na demu mkali sana majira ya kama saa mbili usiku, hatukua tunasemeshana lakini alipokuja konda yule dada akatoa nauli kumpa konda akimwambia akate ya watu wawili yaani yake na yangu!
Kidume nikaona nyota ya jaha imenidondokea, dada akawa anashuka kituo kinachofuata na mimi japo hakikua kituo changu nikashuka nae. Sasa bana nikajidai na mimi naenda muelekeo anaoenda yeye huku naanza kumsemesha. Hatua chache tu dada akasimama ghafla akanigeukia na kuniuliza 'unakwenda wapi?kukulipia nauli imekua nongwa? Mawazo yako yanakutuma nimejitongozesha kwako, hivi wanaume mkoje?' Basi nilikula za uso za kutosha, lakini kwa vile ilikua ni usiku watu wengi hawakushtukia, mimi huyo nikageuza nikarudi kituoni kusubiri gari niendelee na safari yangu




Hahaha heee flying kiss noma sanaaMmh kukonyezwa tu ushalegea je angekupa flying kiss si ungezimia kabisa
Asante mkuu ndio uanaume huo, usiogope kujeruhiwa ukiwa kazinipole mkuu
Sio kila mkoa kuko na hizo vitu mkuu, au wajua kila mwana JF aishi Dar???Basi ww waki shua ila watu uswazi hawawez kosa hio kitu