colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
- Thread starter
- #41
duuh sasa mkuu unanitishaUtakonyezwa hadi na majini ohoo, vingine viache vikupite
duuh sasa mkuu unanitishaUtakonyezwa hadi na majini ohoo, vingine viache vikupite
Aah mkuu nishatulia kwa kwel ingawa mtoto alikua mzurKwa hyo mpka ss unamuwaza au usharudi kweny hl y kawaida
Aiseee!! We numbisa mungu anakuonaYeah kwa hali ya mtoa mada angezimia



Mimi nikishiba mapupu hata nikonyezwe vipi sishtukiSawa
Mie huwa sikonyezi jamani... Ila huwa naachia tabasamu tuuMimi nikishiba mapupu hata nikonyezwe vipi sishtuki![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa hiyo jiachieni tu ili kupunguza stress za vyuma kukaza![]()
![]()
Hapo kwenye tabasamu ndio Cancer yangu, uzuri tupa kuleMie huwa sikonyezi jamani... Ila huwa naachia tabasamu tuu
KabisaNingeanza nyimbo kwenye basi eeh?
HahaHapo kwenye tabasamu ndio Cancer yangu, uzuri tupa kule

Ha ha ha ha ha ha ha haaaaHaha![]()
Hata mie huwa nafarijika mnoo nkutane na mwanaume mwenye tabasamu nono aki na mie huliachia ka namjua vilee!!!!![]()
![]()
![]()
Sijawahi kula hayo makitu mieHa ha ha ha ha ha ha haaaa
Mapupu oyeeeeeeeee
Nitamwambia cuzoo akuletee uje uujue utamu wakeSijawahi kula hayo makitu mie
Nakwambia kweli hii dunia ina mengiduuh sasa mkuu unanitisha
Aah mkuu gar ilikua inaondoka then hata watu wangenishangaa in short skujua nifanye nn kabisaKwanini usipande tena ukamalizane naye