Wanawake acheni uchokozi

Wanawake acheni uchokozi

colin_morgan

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,443
Reaction score
2,926
Habar zenu wana jf natumai mko poa wote

Niende direct kwenye mada bila kupoteza muda. Ni hivi yaani jana wakat nipo katika moja ya usafir wa umma ndan ya gar kulikua na mtoto mkali kiasi basi wakat napanda ndan ya hio daladala tuligongana macho. Sasa hatar ilikua wakat tayar kituo changu cha kushuka kimefika

Wakat tayar nimeshashuka mtoto mzur aligeuza kichwa chake nyuma ya kioo kwa nje ya gar tukagongana tena macho basi sikuamin baada yule mtoto mzur kurusha mkonyezo wa maana. Yaani sikujua nini nafanya nilibaki na tabasamu tu kwan kioo kilikua kimefungwa na gar inaondoka ila kiukwel aliniweka vibaya sna kwa ule uchokozi alionionesha

Ilifanya nichukue muda mrefu hadi akili kurejea katika normal state
Wanawake acheni uchokozi , mtafanya tugongwe na magar kwa kufkiria tulivyoviona
 
Poyoyo kwel... bora ume ondoka kistarabu kulikoni ungemfata ule za uso.
 
Umenikumbusha mwaka 1995 na utundu wa uvulana rijali. Ilitokea kama zali siku moja kwenye daladala nilikua nimekaa siti moja na demu mkali sana majira ya kama saa mbili usiku, hatukua tunasemeshana lakini alipokuja konda yule dada akatoa nauli kumpa konda akimwambia akate ya watu wawili yaani yake na yangu!
Kidume nikaona nyota ya jaha imenidondokea, dada akawa anashuka kituo kinachofuata na mimi japo hakikua kituo changu nikashuka nae. Sasa bana nikajidai na mimi naenda muelekeo anaoenda yeye huku naanza kumsemesha. Hatua chache tu dada akasimama ghafla akanigeukia na kuniuliza 'unakwenda wapi?kukulipia nauli imekua nongwa? Mawazo yako yanakutuma nimejitongozesha kwako, hivi wanaume mkoje?' Basi nilikula za uso za kutosha, lakini kwa vile ilikua ni usiku watu wengi hawakushtukia, mimi huyo nikageuza nikarudi kituoni kusubiri gari niendelee na safari yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom