The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 2,332
- 3,230
Mkuu umechomoa betri mapema sana hata ya kutolea ulikuwa bado haujaambiwaiko hivi kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mm ni mwendo wa kama dk 5 hivi, Ila chaajabu Nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua una wasiliana na nani akasema ndio. Nikamuuliza nauli ya nn sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mm mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock,
Huwa na kerekaga san na hako kaneno, wanawake badilikeni
Tuma nauli ni namna ya kukuambia hana mpango na wewe.iko hivi kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mm ni mwendo wa kama dk 5 hivi, Ila chaajabu Nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua una wasiliana na nani akasema ndio. Nikamuuliza nauli ya nn sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mm mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock,
Huwa na kerekaga san na hako kaneno, wanawake badilikeni
Mwanamke anaye kupenda hawezi kuweka pesa mbele tatizo vidume wanashindwa kujiongeza.Tuma nauli ni namna ya kukuambia hana mpango na wewe.
Jiongeze.
hebu unblock hiyo namba yake alafu mtumie jero.iko hivi kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mm ni mwendo wa kama dk 5 hivi, Ila chaajabu Nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua una wasiliana na nani akasema ndio. Nikamuuliza nauli ya nn sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mm mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock,
Huwa na kerekaga san na hako kaneno, wanawake badilikeni
Baharia unakosaje utamu kizembe hivyo! Au ulikuwa humpendi? Yawezekana ni kautaratibu alikojiwekea au alichanganya mafaili. Au kweli alitaka apande Pikipiki.iko hivi kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mm ni mwendo wa kama dk 5 hivi, Ila chaajabu Nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua una wasiliana na nani akasema ndio. Nikamuuliza nauli ya nn sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mm mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock,
Huwa na kerekaga san na hako kaneno, wanawake badilikeni
Sio demu mkali sana wakumshobokea kwanza ni single motherBaharia unakosaje utamu kizembe hivyo! Au ulikuwa humpendi? Yawezekana ni kautaratibu alikojiwekea au alichanganya mafaili. Au kweli alitaka apande Pikipiki.
Hapo mbona karibu sana! Siyo gharama kubwa!
Ila katisha mbaaya!
Sio demu mkali sana wakumshobokea kwanza ni single mother
Maneno ya mkosaji
sawa MkuuSafi sana na tayari nimeshawasiliana na wajumbe 10 hadi sasa, bila shaka tutakurasimisha uwe Mwenyekiti ktk kikao kijacho kwa uanaume ulioonesha ili uwe mfano wa kuigwa na wengine.
Sio demu mkali sana wakumshobokea kwanza ni single mother
Anao wengi wenye majina kama yako, do alijua anaongea na yule wa mkoa mwingine.
Anao wengi wenye majina kama yako, do alijua anaongea na yule wa mkoa mwingine.