REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,254
- 11,489
Kumekuwepo na mijadala mingi sana hususani lawama za wanawake kwenda kwa wanaume hususani tendo la ndoa
Wanawake wengi wanalalamika hawapewi haki yao kikamilifu katika ndoa zao wengi wanalalamika kipindi wapo kwenye uchumba jamaa alikuwa anajituma sana ila walipooana uwezo umeshuka jamaa anazingua tofauti na awali tuje katika uhalisia
Hivi wewe dada Mala ngapi ushamwambia mwenza wako unaitaji tendo la ndoa?
Mala ngapi ushamwambia mwenza wako sasa hivi uwezo wake unapungua uridhiki zaidi unakuja lalamika uku mitandaoni?
Mmeona tatizo hapo, wanawake wengi katika ndoa wanasubilia mwanaume ndio aseme anaita tendo la ndoa hivyo Siku mzee akiwa na bize wiki nzima anarufi kachoka anaoga na kulala haombi PAPA kwa mama basi mama jamani hata nyie majukumu hilo mtomase tomase mzee, ila kitu ni yako ufuate ilipo ishike isalimie uone kama mzee atakuacha atakupa haki yako tu badilikeni
Wengi msipopewa haki yenu mnasema mbona kipindi cha uchumba alikuwa vizuri ila mmeona uwezo umeshuka hiyo kweli kipindi cha uchumba pengine kwa wiki mlikutana Mala moja na mlipokutana nyote mlijua leo lazima show so obvious lazima mlienjoy sasa leo mpo wote mda wote hakuna kupaniana zaidi ni juhudi na utundu tu vinginevyo mnaweza kuwa kama dada na Kaka at the end mnafuta michepuko mnaleta maradhi ndani mnakufa mnaachia watoto kina mjomba muhidini wa bomba mbili songea uko ambao mlo wao kwa siku tatizo
Wanawake wengi wanalalamika hawapewi haki yao kikamilifu katika ndoa zao wengi wanalalamika kipindi wapo kwenye uchumba jamaa alikuwa anajituma sana ila walipooana uwezo umeshuka jamaa anazingua tofauti na awali tuje katika uhalisia
Hivi wewe dada Mala ngapi ushamwambia mwenza wako unaitaji tendo la ndoa?
Mala ngapi ushamwambia mwenza wako sasa hivi uwezo wake unapungua uridhiki zaidi unakuja lalamika uku mitandaoni?
Mmeona tatizo hapo, wanawake wengi katika ndoa wanasubilia mwanaume ndio aseme anaita tendo la ndoa hivyo Siku mzee akiwa na bize wiki nzima anarufi kachoka anaoga na kulala haombi PAPA kwa mama basi mama jamani hata nyie majukumu hilo mtomase tomase mzee, ila kitu ni yako ufuate ilipo ishike isalimie uone kama mzee atakuacha atakupa haki yako tu badilikeni
Wengi msipopewa haki yenu mnasema mbona kipindi cha uchumba alikuwa vizuri ila mmeona uwezo umeshuka hiyo kweli kipindi cha uchumba pengine kwa wiki mlikutana Mala moja na mlipokutana nyote mlijua leo lazima show so obvious lazima mlienjoy sasa leo mpo wote mda wote hakuna kupaniana zaidi ni juhudi na utundu tu vinginevyo mnaweza kuwa kama dada na Kaka at the end mnafuta michepuko mnaleta maradhi ndani mnakufa mnaachia watoto kina mjomba muhidini wa bomba mbili songea uko ambao mlo wao kwa siku tatizo