Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Kweli hizi tabia zinakera sana wanaume na ndo zinafanya wengine mnakosaga kabisa wakuwaoa mnabaki kubanana na wanaume za watu.
1. Tabia za kujifanya high class
2. Kila ukipewa outing unakuja na kampani
3. Tabia za mizinga ya mara kwa mara - HII NDIO KERO KUBWA
4. Mizinga ya vocha kila siku
Unakuta unapigwa mzinga leo unakaa siku moja tu unakula mwengine.
Sitaki ku entertain majibu ya inategemea au siyo wowote mimi ushauri wangu kwako ujirekebishe tu.
1. Tabia za kujifanya high class
2. Kila ukipewa outing unakuja na kampani
3. Tabia za mizinga ya mara kwa mara - HII NDIO KERO KUBWA
4. Mizinga ya vocha kila siku
Unakuta unapigwa mzinga leo unakaa siku moja tu unakula mwengine.
Sitaki ku entertain majibu ya inategemea au siyo wowote mimi ushauri wangu kwako ujirekebishe tu.