Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakati nasoma Kibaha Boys Sec. School advance nilikutana na mdada mmoja akiwa anafanya kazi Tumbi Hospital, nikamwambia ninakupenda Sana akanambia Ww Ni Mwanafunzi utanipa Nini?
Okey Nikamwambia Asante kwa ujasiri Tu, sikujua kwa Nini nilimwambia Hivyo, nikamaliza form 6 Nikapata sikolashipo ya Kuja Kusoma Law Huku USA, nikamaliza kusoma zangu Nikapata Kazi Huku USA.
Sikujua alipataje mawasiliano yangu alivyosikia naishi Huku akaanza kuomba msamaha nimsahehe Kwamba akujua Kwamba nitafikiwa so anajutia alichokifanya? Wakuu Niko Kwenye denial situation Wakati mm Nina mke na Watoto wawili nafanyaje??
Okey Nikamwambia Asante kwa ujasiri Tu, sikujua kwa Nini nilimwambia Hivyo, nikamaliza form 6 Nikapata sikolashipo ya Kuja Kusoma Law Huku USA, nikamaliza kusoma zangu Nikapata Kazi Huku USA.
Sikujua alipataje mawasiliano yangu alivyosikia naishi Huku akaanza kuomba msamaha nimsahehe Kwamba akujua Kwamba nitafikiwa so anajutia alichokifanya? Wakuu Niko Kwenye denial situation Wakati mm Nina mke na Watoto wawili nafanyaje??