Wanaumeeee!!!

Wanaumeeee!!!

Ni kitu nakifikiria tangu nimemaliza kusoma barua. Katika haya maisha ogopa sana mtu unaemkosea na anatatua tatizo lenu kidiplomasia

Mwanamme ni kitu tofauti sana.
 
  • Thanks
Reactions: sab
Lakini wakuu mmgejua mantiki ya huyu jamaa kuandika barua wala msingemkashifu..........hii baua iko siku itakuwa hati ya kifo maana jamaa kashindwa kuongea maana mikono yake imejaa ghadhabu mke wake awe makini watu kama hawa mm nawafahamu huwa hawatanii aiseee katumia busara sana
 
Hivyo ndivyo mlivo kiuhalisia, hapa jf mnajichetua tu kujikuta mnatunisha misuli, misuli yenyewe ya mbu.....
Hata baba hafifa hapa jf atajitutumua.
😳 😳
 
Lakini wakuu mmgejua mantiki ya huyu jamaa kuandika barua wala msingemkashifu..........hii baua iko siku itakuwa hati ya kifo maana jamaa kashindwa kuongea maana mikono yake imejaa ghadhabu mke wake awe makini watu kama hawa mm nawafahamu huwa hawatanii aiseee katumia busara sana
Inawezekana akawa na silaha za maangamizi kimya kimya 😳 😳
 
Habari nduguz,

Daaah, Wanaume wengine wanadhalilisha sana hii jinsia yetu ma shabaaaabi

View attachment 777138
Tungejiuliza alikua anafkiria nn wakat anaandka? Na huyo aliye andkiwa anajisikiaje? Na aliwwzakujibu swali aliloulizwa la kuletewa zawad? Na kwa nn mume amuandikie kwa kalam na sio SMS ya kawaida ya kweny SMU? Note "Kmya kingi kina kishndo kikubwa "
 
Back
Top Bottom