Wanaume wenzangu tusiwe hivi....

Wanaume wenzangu tusiwe hivi....

hope we sio mmojawapo loh maana inatia hasira kila siku unampa mumeo mang'anyu lakini halidhiki.

Mioyo ya watu siyo transparent mdogo wangu...

Ni kumwomba Mungu ndiye akuvushe salama...ukizingatia kila kona hadi kwenye nyumba zetu kumevamiwa na mazimwi ya kutisha...

Babu DC!!
 
hahahaha umenichekesha sana,anakumbukia alivyofia kiunoni siku ya pasaka we unajua anakufurahia ama kweli Mungu alituweza kutuficha mioyo ya wengine inafikiria nini
umeona eeeh!
mbona watu wangeumbuka!
mtu upo naye physically kumbe mwenzio anamuwaza mwingine!
kila akitabasamu unatabasamu back,
unadhani mpo in loooovvveeeeee, kumbe mwenzio anakuchora tu
 
Mioyo ya watu siyo transparent mdogo wangu...

Ni kumwomba Mungu ndiye akuvushe salama...ukizingatia kila kona hadi kwenye nyumba zetu kumevamiwa na mazimwi ya kutisha...

Babu DC!!

babu nahisi nikijua my husband ana allergy na kufunga zipu tutafanya separation of marriage kwa muda usijulikana.
 
umeona eeeh!
mbona watu wangeumbuka!
mtu upo naye physically kumbe mwenzio anamuwaza mwingine!
kila akitabasamu unatabasamu back,
unadhani mpo in loooovvveeeeee, kumbe mwenzio anakuchora tu

Huko mnakoenda sasa...mhhhhhhhhhhhhhhh....!!

Naona mnataka kuanza kuchora picha kama zile za FBI na jamaa wa Zenji...

Nahofia watu wanaweza kujivisha kitambi kwa kuhisi tu...

Babu DC!!
 
good waongezee dozi nyingine kina baba huruma(hawafungi zipu zao)
Asnam, unajuwa hili suala si wewe wala mimi tunaweza kulimaliza. Haya mambo ya kusalitiana tumeyakuta kwani hata wazee wetu walikuwa wanayafanya haya. Tuseme, ni kitu cha kawaida ila inauma pale inapokutokea wewe. Na kusema kwamba eti uhalalishe nyumba ndogo ili wasioneane wivu ni kujidanganya tu kwani penzi haligawanyiki hata siku moja, huko ni kujidanganya tu. Kwenu nyie wanawake, kama mumeo anakuambia anataka kukuletea nyumba ndogo basi ujuwe penzi lake kwako limekwisha.
 
Last edited by a moderator:
Usitukane mamba mdogo wangu...

Umesahau kwamba binadamu hatuna tofauti na vinyonga??

Babu DC!!
nalijua hilo ndo maana nimejiandalia njia tamuuuuuu ya kutovunja ndoa nayo ni;separation of marriage sio divorce
 
Huko mnakoenda sasa...mhhhhhhhhhhhhhhh....!!

Naona mnataka kuanza kuchora picha kama zile za FBI na jamaa wa Zenji...

Nahofia watu wanaweza kujivisha kitambi kwa kuhisi tu...

Babu DC!!
ha haaaa, haya basi babu nimestop.....:tape2:
naona na babu Asprin yupo hapo anachungulia.....
kesi kwa watu wa2 nitaiweza kweli?
 
Last edited by a moderator:
Asnam, unajuwa hili suala si wewe wala mimi tunaweza kulimaliza. Haya mambo ya kusalitiana tumeyakuta kwani hata wazee wetu walikuwa wanayafanya haya. Tuseme, ni kitu cha kawaida ila inauma pale inapokutokea wewe. Na kusema kwamba eti uhalalishe nyumba ndogo ili wasioneane wivu ni kujidanganya tu kwani penzi haligawanyiki hata siku moja, huko ni kujidanganya tu. Kwenu nyie wanawake, kama mumeo anakuambia anataka kukuletea nyumba ndogo basi ujuwe penzi lake kwako limekwisha.
bora tufunge ndoa ya kimila ili ijulikane muda wowote ataletwa mwenzangu lakini mambo ya kunipeleka madhabahuni halafu unaniletea vidumu unasema ni kitu cha kawaida sikupati kabisa,mke mmoja mume mmoja kufa na kuzikana,hayo mengine ni tamaa za kujiendekeza.
 
nalijua hilo ndo maana nimejiandalia njia tamuuuuuu ya kutovunja ndoa nayo ni;separation of marriage sio divorce
hivi separation in tofauti gani na divorce? kihisia siyo kisheria.....
mi naona bora niwe divorced ili niendelee na mambo mengine, kuliko kujidanganya nipo ndani ya ndoa ambayo haipo
 
hivi separation in tofauti gani na divorce? kihisia siyo kisheria.....
mi naona bora niwe divorced ili niendelee na mambo mengine, kuliko kujidanganya nipo ndani ya ndoa ambayo haipo

mnapeana space kila mtu apumuwe na kero za mwenzie,mkiona mmeshindwa kumissiana mnachukua divorce lakini kama mlikuwa mmechokana kihisia weeeeeeee mtakavyorukiana mkionana physically na mentally acha tu.
 
bora tufunge ndoa ya kimila ili ijulikane muda wowote ataletwa mwenzangu lakini mambo ya kunipeleka madhabahuni halafu unaniletea vidumu unasema ni kitu cha kawaida sikupati kabisa,mke mmoja mume mmoja kufa na kuzikana,hayo mengine ni tamaa za kujiendekeza.


Nimekupata, ila point yangu naona haujailewa vema. Nimesema haya masuala ya kusalitiana yamo tena sana tu na usishangae hata kama wewe Asnam umeolewa ama humo kwenye mahusiano pengine mwenzio kisha kusaliti tayari na huenda bado anaendelea bila wewe kujuwa. Yaani ninachosema ni hivi, upende usipende lazima utasalitiwa tu. Wanasalitiana walokole makanisani sembuse wewe na mimi? Kuna ile kitu kinaitwa kuchokana ila mnaishi tu kwa kuheshimiana which is really bad kwa sababu hapa ama katika hali hii ndipo unakuta mwanaume anakuwa na uwongo mwingi ili mradi tu atoke nje kwenda kuchukua hata rafiki yako kipenzi ama anapanga akutane na house girl wa jirani sehemu sehemu kwa ajili ya kujikrimu. Wanawake wengi sana hapa Bongo wamegundua hii na ndiyo maana wengi wao nao hutoka nje ya uwanja siku hizi kucheza dana dana kama waume zao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom