FP uvumilivu unanishinda dada yangu, yaani nimekutafakari mpaka. Unapenda kula mishikaki weye? Nakuuliza kwani nataka kukupa ofa, dah kwa kweli uzalendo unanishinda sikujuwa hili kama litawezekana kwangu.
FP, kwangu mimi mwanamke macho si tigo...ngoja nikuimbie kidogo labda utanihurumia:
"Bibiiiii,
FP mamaaaaa, haloooo FP dadaaaaa, nakutafuta sikuoni mamaaaaa, katika darubini sikuoni yeyeeeee eheeeeee
Nyumbani gani ulikoooooo
Nijulishe, nipigie simu namba 0755XXXXXXX (namba mafichoni kuogopa nisiowapenda kunitafuta)
Haki ya Mungu, nakupenda FP, nachotaka njoo unishike mkono twende kwa wazee.....(Bima Lee, Imakulata a.k.a.
FP)