INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
hatuji tambui ndomana tunaongozwa na hisia zaidiNa hapo ndipo panapoleta shida haswaaaa! Ndio maana ndoa zenyewe siku hizi ni kama big g, miezi mitatu utasikia watu wameachana, wale wanaoendelea kusurvive basi imebaki tu ni kuwa wanavumiliana,full mtafaruku.