Ni miongoni mwa sabab...pia tumewahi kuwa na mgahawa kwenye club flan pale makambako , wale barmaid walikuwa wanalala kwenye chumba chetu sisi Cha watu wa mgahawan kwasabab sisi tunapga Kaz 24/7 huku tukipeana shift za kulala masaa 4 tu kwa siku wao walikuwa wakilala mchana usiku wanakesha club...chumba Chao kilikuwa kidogo kulingana na idad yao so wakawa wanakuja kulala kwetu...nimewashuhudia wakiwanga mkuu...wanaume walevi wanalishwa vingi sana na Hawa watu asikuambie mtu bro ..so sometimes mood , sometimes madawa , sometimes hofu.....
Bro Bora mtu akawa mlevi pombe tu , au madem tu af akawa hanyw kabsa Kama Mimi , Ila ukiwa mlevi wa pombe na madem unaumia msije mkamess na mabaamed I swear , nmeishi nao Zaid ya miez 6 ..aisee ni balaa , Kama Kuna mtu anaswali kuhusu Hawa watu aniambie , nitamjibu kutokana na nilivowaona