Kumbe ndiyo zako. Nakuambiaaga unataka kunirubuni tu then unidump huko. Tuache kuchunguzana hii inatoshaHATA LEO KUNA PUNGA LIMENITUMIA NAULI YA KWENDA MORO NIMEMTAPELI NTAFIKA IJUMAA JION WAKATI IJUMAA NINA ODA ZA WATEJA ZANGU HUMU KWENYE JIJI LA BASHITE............. ZA VITENGE NA SNICKERS HAHAHA NIMEONGEZEA KWENYE MTAJI NIMEPATA PEA MBILI AMBAZO NITAPATA FAIDA YA 20 ELFU ............. SIPATI PICHA ATAVYOHANGAIKA KUNIPIGIA SIMU AMBAYO NI YA OFISI AMBAZO KUANZIA IJUMAA JIONI HUWA TUNAZIZIMA ππππ
Ha ha ha kumbe na wewe ni muoga nilikua sjuiBonny mm huyo hivi naanzaje kula hela ya watu mtu simjui nilivyo muoga mm
hahahah ww umebadilisha jina tena tulikua tunakutafuta na sakayo sakayo njoHapana mi najua upo hapo Sinza karibu na La chaz! Mbona hivyo tena!!? Huko kigoma umeenda lini!!?
mm muoga sanaHa ha ha kumbe na wewe ni muoga nilikua sjui
Utapigwa parefu labda kama unabodaboda wako.Chukua bodaboda nitakuja kulipa. Kama hauwezi anitolee nuksi.
Msimulie tu mbna sio dhambiNimekumbuka hahahhh chizi huyo
Vp wewe nikikutumia hutokuja!?Chukua wa mtaani kwako tu kuepeuka kutapeliwa[emoji1][emoji1]
namsimulia apa pm [emoji23]Msimulie tu mbna sio dhambi
Wala siji[emoji1]Vp wewe nikikutumia hutokuja!?
Hahahaaaaa mkuu kuwa na huruma kidogoHATA LEO KUNA PUNGA LIMENITUMIA NAULI YA KWENDA MORO NIMEMTAPELI NTAFIKA IJUMAA JION WAKATI IJUMAA NINA ODA ZA WATEJA ZANGU HUMU KWENYE JIJI LA BASHITE............. ZA VITENGE NA SNICKERS HAHAHA NIMEONGEZEA KWENYE MTAJI NIMEPATA PEA MBILI AMBAZO NITAPATA FAIDA YA 20 ELFU ............. SIPATI PICHA ATAVYOHANGAIKA KUNIPIGIA SIMU AMBAYO NI YA OFISI AMBAZO KUANZIA IJUMAA JIONI HUWA TUNAZIZIMA ππππ
Sawa mkuuNAURI-NAULI
Jifunze kwanza kiswahili halafu urudi hapa
Ha ha ha ha kwahyo nakusingizia kisa hakuna risiit enhee?Jamaan bonny ebu vingine nipunguzie
Hahaaaaaa hatareeehahahah ww umebadilisha jina tena tulikua tunakutafuta na sakayo sakayo njo
Ha ha ha ha kwahyo nakusingizia kisa hakuna risiit enhee?Jamaan bonny ebu vingine nipunguzie