balaa tupuu...! Kaamua kununua zingne leo...Na shemela nini mkuu?
Me pia sijui idadi ila kubadilisha mpaka nigombezwe, kuna moja hiyo ndo pendwa yani mpk naionea huruma. Hahahahaha!!!!Aisee,mi binafsi nna boxer kama 40 hivi..lkn cha kushangaza najikuta boxer moja nimevaa mpka siku 3.. hahaha
Nina boxer maalumu ya kwenda nayo bafuni tu..hiyo naweza ivaa hata wiki..nikitoka bafuni naivua haivaliwi tena.We mzee hauvai boxer unaacha makende yako yakininginia tu au?
Hahahahahaha!!! Hahahah!!!!Inategemea uko mkoa gani.
Km uko mkoa wa joto km dar, tanga basi siku 2/3
Km uko mkoa wa baridi km mbeya,iringa wiki siku 7/14 kabsa
Aisee mpka ugombezwe na mke?Me pia sijui idadi ila kubadilisha mpaka nigombezwe, kuna moja hiyo ndo pendwa yani mpk naionea huruma. Hahahahaha!!!!
Ndiyo mzee, yani alidhani ni chache akazinunia kwa fujo kumbe siyo. Lo! kabloo mwenyewe. Ananigombeza balaaAisee mpka ugombezwe na mke?
kipind flan nilikuwa nazifanyia usafi nikijua tu nina mgeni(ke) anakuja basi.Wewe ndio mwanaume wa shoka
Aliekuambia wanaume wengine wanabadilisha baada ya siku 3 ni nani?au umetabiri?!Mkuu mi ni kama wanaume wengine tu kupita siku 2 au tatu ni jambo la kawaida