Ukitaka kumla bata usimchuguze.
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..
1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.
2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.
3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.
4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.
5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..
Tuzinduke jamani na wake zetu
Ongezea hulala kama amekufa.Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..
1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.
2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.
3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.
4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.
5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..
Tuzinduke jamani na wake zetu