BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
unazungumzia wanawake hawa hawa wa siku hizi au wa zamani?
-Kwanza hawana aibu hawa siku hizi, kwa hyo hatapepesa macho pembeni kamwe.
-pia atarudi akiwa keshaoga ananukia uturi(si unajua pochi zao wanabeba lotion nk?)
halafu hawakurupushani nguo wakiuza mechi, atazitoa in advance zirudi salama.
-Kwanza hawana aibu hawa siku hizi, kwa hyo hatapepesa macho pembeni kamwe.
-pia atarudi akiwa keshaoga ananukia uturi(si unajua pochi zao wanabeba lotion nk?)
halafu hawakurupushani nguo wakiuza mechi, atazitoa in advance zirudi salama.