Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Habarini wadau!
Naomba niende kwenye mada.
Kuna wanaume hapa duniani ni laana kabisa unawezaje kumlala binti yako mdogo wa miaka kumi na NNE?
Machangudoa wote hawa waliojazana Kimboka,Kona bar na kingwineko?jamani!
Hawa wababa wa miaka hii hivi si laana hii kwa kweli?!!!
Hivi mtoto uliyemzaa ana utamu gani jamani?Mbaya zaidi mama unajua umekaa kimya wamuacha mtoto anaharibiwa tuu kisa waogopa bastola atakuua.
Hivi we mama ni mzima kweli?
Au mambo za kishirikina zimewatala?
Hivi vitu vinatia huzuni sana mbaba kabisaa anamlala binti yake ndani kwake, chumbani mama waangalia tu mtoto anakosa mtetezi hivi huyu mtoto akikua atakuja kua mwanamke wa aina gani?
Yaani kwa kweli imeniuma nafsi haswaa kabinti kazuri ila baba ndo anamfanyia ukatili huu wa kijinsia kwa kweli inahuzunisha sanaa na inatia hasira mnoo...mbaya zaidi baba huyo huyo anamuambia mtoto atafute mabwana akipata akalale nae then anasingizia mwanawe kabakwa anenda polisi anaanza kumtishia yule mwanaume atamfunga au ampe milioni 8 kama huna unashuka mpk 1milioni ukimpa kesi inaisha anamtafuta victim mwingine wa kumuangushia jumba bovu!Jamaaanii jamaanii
Naumia Mimi kama mama eeh!Mungu weeeh!hawa wababa jamani hawaaminiki hivi loohh!
Hii dunia hii!!natamani kwenda Pluto!
Naomba niende kwenye mada.
Kuna wanaume hapa duniani ni laana kabisa unawezaje kumlala binti yako mdogo wa miaka kumi na NNE?
Machangudoa wote hawa waliojazana Kimboka,Kona bar na kingwineko?jamani!
Hawa wababa wa miaka hii hivi si laana hii kwa kweli?!!!
Hivi mtoto uliyemzaa ana utamu gani jamani?Mbaya zaidi mama unajua umekaa kimya wamuacha mtoto anaharibiwa tuu kisa waogopa bastola atakuua.
Hivi we mama ni mzima kweli?
Au mambo za kishirikina zimewatala?
Hivi vitu vinatia huzuni sana mbaba kabisaa anamlala binti yake ndani kwake, chumbani mama waangalia tu mtoto anakosa mtetezi hivi huyu mtoto akikua atakuja kua mwanamke wa aina gani?
Yaani kwa kweli imeniuma nafsi haswaa kabinti kazuri ila baba ndo anamfanyia ukatili huu wa kijinsia kwa kweli inahuzunisha sanaa na inatia hasira mnoo...mbaya zaidi baba huyo huyo anamuambia mtoto atafute mabwana akipata akalale nae then anasingizia mwanawe kabakwa anenda polisi anaanza kumtishia yule mwanaume atamfunga au ampe milioni 8 kama huna unashuka mpk 1milioni ukimpa kesi inaisha anamtafuta victim mwingine wa kumuangushia jumba bovu!Jamaaanii jamaanii
Naumia Mimi kama mama eeh!Mungu weeeh!hawa wababa jamani hawaaminiki hivi loohh!
Hii dunia hii!!natamani kwenda Pluto!