Habari zenu wana JF. Jamani siku hizi kuna wanaume ambao hawana hata busara kabisa. Utakuta mvulana uliyekuwa na uhusiano nae kipindi cha nyuma anaendelea kukufuatafuata kwa kutuma message za ajabuajabu kwa msichana ambaye walishaachana nae hapo zamani na anajua wazi kabisa tayari upo na uhusiano na mwanaume mwingine ambaye mnapendana sana.
Hivyo kutokana na wivu alio nao ataanza kukufuatilia kwa maneno ya ajabuajabu, ili mradi tu akuvurugie uhusiano wako na mwanaume uliye nae.
Jamani wana JF naombeni ushauri wenu kwa wanaume wa namna hii wafanyweje?
Hivyo kutokana na wivu alio nao ataanza kukufuatilia kwa maneno ya ajabuajabu, ili mradi tu akuvurugie uhusiano wako na mwanaume uliye nae.
Jamani wana JF naombeni ushauri wenu kwa wanaume wa namna hii wafanyweje?