Wanaume wengi tunazingua.! Tubadilike 2016

Wanaume wengi tunazingua.! Tubadilike 2016

arafa255

Senior Member
Joined
Mar 3, 2015
Posts
118
Reaction score
55
Heri za mwaka wana jf,

Ni ukweli usiofichika kuwa wanaume hatuna subira tuonapo mwanamke mpya machoni, either awe na standard au kawaida hatuchagui lazima tuanze kupapatika kama sisi ndio tunafaidi sana kwenye mapenzi while the last time i checked females ndio hufaidi almost two times zaidi yetu alafu ndio wapo patient kuliko sisi.

Mfano ukiwa unatumia social media angalia ikiwekwa picha au post ya mwanamke yeyote fuatilia comments zetu ni aibu kiukweli.Tatizo ni nini wazee tuambiane.

Pia tujaribu kuwa wavumilivu kidogo.
 
Last edited by a moderator:
kwani wewe ni mwanaume, mbona unatulisha maneno dada
 
Arafa ni mwanamme wewe?Jina mbona la kike bana?
 
Kwani hujawahi kukutana na hizo tabia mkuu mfano kwenye social media.?
Na wengi wanaofanya hayo ni vijana ambao akili zao zinawatuma kufanya hayo..

Ni kitendo cha muda tu, wakikua wataacha arafa255 natumai hata wewe umeshaacha.
 
Hata watoto wadogo hutambua nguo mpya.
 
Heri za mwaka wana jf,

Ni ukweli usiofichika kuwa wanaume hatuna subira tuonapo mwanamke mpya machoni, either awe na standard au kawaida hatuchagui lazima tuanze kupapatika kama sisi ndio tunafaidi sana kwenye mapenzi while the last time i checked females ndio hufaidi almost two times zaidi yetu alafu ndio wapo patient kuliko sisi.

Mfano ukiwa unatumia social media angalia ikiwekwa picha au post ya mwanamke yeyote fuatilia comments zetu ni aibu kiukweli.Tatizo ni nini wazee tuambiane.

Pia tujaribu kuwa wavumilivu kidogo.
Gf wangu wakati niko teenager alikuwa anaitwa ARAFA...... arafa255
 
Tatizo la nguvu za kiume zikizidi mwilini
 
Ndiyo maana tukaitwa wanaume... lazima tudinde...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom