Wanaume wengi hawabebeki

Mkuu mwanaume sio ndugu yako alafu acha mwanaume afanye majukumu take na wew ufanye yako hapo ndo wanawake wengine hata wakiwa sana pesa huwa hawawapi wanaume mitaji,,ni sumu kubwa kumpa mwanaume ela acha asake zake unaweza kufa badae akigeuka
 
Mpuuz wako mmoja usitufananishe nae

Af hyo ela uliongwa na wewe ukaonga

Pesa ya ivyo kudumu kwake ni ngumu
 
Mkuu mwanaume sio ndugu yako alafu acha mwanaume afanye majukumu take na wew ufanye yako hapo ndo wanawake wengine hata wakiwa sana pesa huwa hawawapi wanaume mitaji,,ni sumu kubwa kumpa mwanaume ela acha asake zake unaweza kufa badae akigeuka
Sawa na kwa mwanamke,

Mimi shughuli yangu ni kumtindua tu,

Na namsugua mpaka anaomba poo akitaka kula fresh na bla bla ndogo ndogo hakuna mtaji
 
sasa kauli yangu imetia kwa Uzi huu hasira zenu msilete huku..... Walio watoboa wako wanabet
 
Ndio maana sipendi kuhonga kumbe ndio mambo kama haya unamlea mwanaume mwenzako bila mwenyewe kujua
 


Again, you are generalizing....! Nitafute basi, hautakuja kujuta maishani mwako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…