Wanaume wengi hawabebeki

Wanaume wengi hawabebeki

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,158
Mwaka jana nimempa kaka mmoja mtaji ili ajikwamue kimaisha ili hata hela ya boxer na viwembe vya kunyoa zivu asiniombe lakini cha kushangaza ilisahau msoto wote kwa muda mfupi tu aliyoshika pesa hizo za mtaji...

Mwanzo alianza vizuri akafungua goli kkoo pale aggrey akawa anauza vitu(phone accessories) kwa bei ya jumla na reja reja,

Miwanaume ilivyomipumbavu hata miezi minne haijaisha akaanza kubetia pesa yote

Mpaka naandika uzi huu limeshafilisika na nimeliacha lifundishwe na ulimwengu.


Wanaume nani aliewaloga????
 
Nimeonaaa tuuu uyoo uliyompataa ni mpendaa papuchii yakooooo na nahisii naweee unapendaa dushelele lakeeè
 
Wanaume wengi wanaolelewa huwa wanaamini mitaji yao Ni miili yao na wanajua wakirudi huomba msamaha na huonewa huruma. Usishangae dada yangu ukajikuta unampa mtaji mwingine na mwingine Tena siku za usoni

Huwa hawajitumi kwenye biashara huwa wanaamini 'zipo' tu watapewa Tena.
 
Dah ulianzaje anzaje kuihonga dushee mkuu?
Hii kitu imenishinda kabisa hata nikisikiaga siamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom