Aliekuroga akuhurumie.sikia bro ni mwanaume yupi anatoa laki tano kwa kila demu?,unasema laki 5 ni ndogo kununulia vipodozi,hiyo ni kwa standards zipi?naishi dunia hii na wewe ni hii,tuache kuongea vya kufikirika narudia hakuna mwanaume wa kutoa pesa hizo